Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 8,588
- 18,984
Kuishi Tanzania ni kipaji pia
ChenjaKuimba nini?
unamaanisha katuni mwenye tattoo au?
Napenda kutengeneza simu kwa kutumia computer
Kabla sijasema changu naomba kuuliza,.kugegedana nacho ni kipaji???
Kupenda ni kipaji ?
Achana na huyo sosomoko.
Namzidi tu hekima na maarifa.Uyo ana akili mbovu kama wewe tu mdogo wangu
Kuishi Tanzania ni kipaji pia
Ujue umenifanya na mm nicheke huku kwa nguvuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂we bwana mie sitak ujue😂😂😂wanangu wananiuliza nacheka nn nashindwa kusema...una nn lakin?👌
Ujue umenifanya na mm nicheke huku kwa nguvuu😂😂😂😂😂
Hahahhaahaa jamaniii mm ni mtawa wa parokia flani hivi,.,ndio maana nimeuliza..usiniwazie vibaya mwe😂😂yaan nimewaza nikakuta nashindwa kukutafakari
Hahahhaahaa jamaniii mm ni mtawa wa parokia flani hivi,.,ndio maana nimeuliza..usiniwazie vibaya mwe😂😂
Hongera sana mimi napenda sana kujua kinanda na kununua pia vipi bei zake?? Na vinanda vizuri ni vipi??Kaka naomba nikuambie hv........nimepiga kwnye mikutano ya injili na matamasha zaidi ya 50 ya makanisa mbali mbali na nimepiga kinanda kwenye album zaidi ya 10 za kwaya mbali mbali...............hakuna nisichokijua kuhusu kupiga kinanda.....yn nakipiga kaka sio mchezo.........!!
Na baada ya kuwa nimeshakijua vzur kabisa ndo ikawa ile tukikutana na washkaji kwnye mikutano mbali mbali basi ndo tunaongezeana maujuzi kidgo na hyo ni kawaida kwa yoyote hata uwe talented vp lazma kuna skills za hapa na pale mpeane na watu ili kuivishana kisawa sawa
Kwa mapigo ya kigeto geto wengi wetu tunachukua M audio mid keyboard Tsh 600000 mpka 650000.Hongera sana mimi napenda sana kujua kinanda na kununua pia vipi bei zake?? Na vinanda vizuri ni vipi??
mimi namaanisha katuni kama zile za kipanya au za saniWewe wasema