Unakipaji gani?

Unakipaji gani?

mie jaman niwe mkweli..i love dancing..napenda kuserebuka popote pale...kucheza na kuimba😊..sasa kipaji kinakufa huku najiona... !kila mtu ananiulizaga ww unajifunza lini kudance na mm najikuta nashangaa maana sina muda kbs ht wa kucheki tv..ila dah..
 
Kaka naomba nikuambie hv........nimepiga kwnye mikutano ya injili na matamasha zaidi ya 50 ya makanisa mbali mbali na nimepiga kinanda kwenye album zaidi ya 10 za kwaya mbali mbali...............hakuna nisichokijua kuhusu kupiga kinanda.....yn nakipiga kaka sio mchezo.........!!

Na baada ya kuwa nimeshakijua vzur kabisa ndo ikawa ile tukikutana na washkaji kwnye mikutano mbali mbali basi ndo tunaongezeana maujuzi kidgo na hyo ni kawaida kwa yoyote hata uwe talented vp lazma kuna skills za hapa na pale mpeane na watu ili kuivishana kisawa sawa
Hongera sana mimi napenda sana kujua kinanda na kununua pia vipi bei zake?? Na vinanda vizuri ni vipi??
 
Hongera sana mimi napenda sana kujua kinanda na kununua pia vipi bei zake?? Na vinanda vizuri ni vipi??
Kwa mapigo ya kigeto geto wengi wetu tunachukua M audio mid keyboard Tsh 600000 mpka 650000.

Au hata Piano Tyros 400000 pka laki tano ingawa sio kizuri sana......

Kama mkwanja upo kuna Yamaha psr 550 unaweza pata hata kwa Mil 1.3 mpka point 5.

Yani kwa kifupi vipo vingi sana ukiingia mtandaoni utakuta vyote na bei zake
 
Back
Top Bottom