COURTESY JF-Expert Member Jun 16, 2011 2,006 706 Mar 5, 2012 #2 hahahaha duh aya bana,naona umeamua kutudhilishia carorite unayotumia
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,672 68,636 Mar 5, 2012 #3 Du hadi vidole vinafanyiwa mkorogo? Eh basi hatari bado Kei tu?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Mar 5, 2012 #5 Vidole vya mkorogo vinakuwa vyeusi maungioni
Amyner JF-Expert Member Jul 13, 2011 2,397 877 Mar 6, 2012 #8 Watu sijui kwanini wanadhani weupe ni kila kitu katika uzuri! Hadi wanaume siku hizi nao wanatumia carolite nasikia..
Watu sijui kwanini wanadhani weupe ni kila kitu katika uzuri! Hadi wanaume siku hizi nao wanatumia carolite nasikia..
Nicas Mtei JF-Expert Member Dec 21, 2010 11,556 7,085 Mar 6, 2012 #9 Amyner said: Watu sijui kwanini wanadhani weupe ni kila kitu katika uzuri! Hadi wanaume siku hizi nao wanatumia carolite nasikia.. Click to expand... ni ulimbukeni wao tu.
Amyner said: Watu sijui kwanini wanadhani weupe ni kila kitu katika uzuri! Hadi wanaume siku hizi nao wanatumia carolite nasikia.. Click to expand... ni ulimbukeni wao tu.
Nyalotsi JF-Expert Member Jul 20, 2011 6,978 5,025 Mar 6, 2012 #10 rebeca said: View attachment 48644ni kama hivi lol Click to expand... hata hivyo anaonekana ana kijungu cha kazi zaidi,ungemalizia tuone chote.
rebeca said: View attachment 48644ni kama hivi lol Click to expand... hata hivyo anaonekana ana kijungu cha kazi zaidi,ungemalizia tuone chote.
babe S JF-Expert Member Dec 12, 2011 3,879 20,853 Mar 6, 2012 #13 Hahahahaha right on sista, right on
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Mar 6, 2012 #14 utadhani vimezeeka! uzuri kazi teeeh teeeeh
S sawabho JF-Expert Member Feb 25, 2011 5,286 3,107 Mar 6, 2012 #15 Carolite imekataa, inabidi itumike giki
Royals JF-Expert Member Nov 19, 2011 1,466 378 Mar 6, 2012 #16 Vidole vya bi Chau mke wa mzee King Majuto. He he heeeeeeee!