Kuna ya Amina Chifupa pia.Aliona nyota ya Amina Chifupa inang'ara. Akajua Amina anaweza kuwa mwenyekiti wa UVCCM.Nchimbi akamfanyia visa dada wa watu mpaka alichanganyikiwa na kufa juu.Huyu Nchimbi ni zaidi ya Shetani na degree yake fake.Kwa kweli.
Kuna ya Amina Chifupa pia.Aliona nyota ya Amina Chifupa inang'ara. Akajua Amina anaweza kuwa mwenyekiti wa UVCCM.Nchimbi akamfanyia visa dada wa watu mpaka alichanganyikiwa na kufa juu.Huyu Nchimbi ni zaidi ya Shetani na degree yake fake.Kwa kweli.
Tusubiri tuone, polepole anasema hata jiwe alijua anawindwa, ila ndio hivyo tena.Ila Samia hawezi kufa kizembe yupo smart kwenye kujilinda I hope atamaliza urais 2030 😁
Nasikia ni mafia haswaa, huyu Mlongo.Kuna ya Amina Chifupa pia.Aliona nyota ya Amina Chifupa inang'ara. Akajua Amina anaweza kuwa mwenyekiti wa UVCCM.Nchimbi akamfanyia visa dada wa watu mpaka alichanganyikiwa na kufa juu.Huyu Nchimbi ni zaidi ya Shetani na degree yake fake.
Kwanza kumuamini Nchimbi, tayari ni uzembe mkubwa mno kafanya.Iam sure alimuweka Nchimbi kwa ushauri wa JK .JK alijua Nchimbi ana mdomo sana na ni mtata sana.Hivyo ili kumziba mdomo basi amchague awe makamu wake.Ila Samia hawezi kufa kizembe yupo smart kwenye kujilinda I hope atamaliza urais 2030 😁
Jiwe aliingia mkenge,kwanza alimuamini Rostam Azizi na hapo ndo alifanya kosa kubwa mno. Kumbuka magazeti ya Rostam kipindi kile ndo yalikuwa mbele kuanika uovu wa Magufuli ,maana walijua ni Magufuli pekee ndo tishio la Lowassa.Hiyo ilikuwa before 2015.Tusubiri tuone, polepole anasema hata jiwe alijua anawindwa, ila ndio hivyo tena.
Shida ya ninyi wamatengo kujitambulisha kama Wangoni kama Wandali wanapojiita wanyakyusa.Kuna dhana dhahania Kila mtu anapoonyesha mwelekeo Fulani kubadilishiwa Kabila akina mchimbi wako wengi hiyo koo nayo ni kubwa kutoka Songea vijijini huko,ilienda na Mkapa kuitwa mmakonde.Sisi wamatengo hatuna Mchimbi.Umeelewa we mwanamke wa kingoni?Mmatengo.
Asa kwanini akamuamini adui yake😬Jiwe aliingia mkenge,kwanza alimuamini Rostam Azizi na hapo ndo alifanya kosa kubwa mno. Kumbuka magazeti ya Rostam kipindi kile ndo yalikuwa mbele kuanika uovu wa Magufuli ,maana walijua ni Magufuli pekee ndo tishio la Lowassa.Hiyo ilikuwa before 2015.
Inamaana jk na Samia wanaishi kinafki baina Yao,licha ya kushobokeana kiasi hiki mpaka watu wanalalamika ni ngumu kuamini Samia na jk ni maadui😬😬 unaweza kunishawishi niamini Hawa watu wanaishi kinafki baina Yao😬😬😬Kwanza kumuamini Nchimbi, tayari ni uzembe mkubwa mno kafanya.Iam sure alimuweka Nchimbi kwa ushauri wa JK .JK alijua Nchimbi ana mdomo sana na ni mtata sana.Hivyo ili kumziba mdomo basi amchague awe makamu wake.
Umesahau amewahi kuwa m/kiti wa UVCCM taifa
Ila anaweza akamfanyia mambo yatakayofanya ajiuzulu akawa na historia kama ya Philip mpango 🤔🤔Kwanza kumuamini Nchimbi, tayari ni uzembe mkubwa mno kafanya.Iam sure alimuweka Nchimbi kwa ushauri wa JK .JK alijua Nchimbi ana mdomo sana na ni mtata sana.Hivyo ili kumziba mdomo basi amchague awe makamu wake.
Kijana wa mangula kiitikadi pia ni wakaribu na polepole tujiandae atakuwa rais 2030 if no reformsDr. Emmanuel Nchimbi amewahi kushika nafasi mbalimbali za ajira na uongozi, nyingi zikiwa ndani ya serikali na chama. Mpangilio wake wa kazi unaweza kuonekana hivi:
Ajira na Nafasi Alizoshika
1. Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini – (2005–2015)
Alichaguliwa kupitia CCM na kushiriki kikamilifu katika mijadala na kamati za Bunge.
2. Naibu Waziri katika wizara kadhaa (2006–2010)
Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana
Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
3. Waziri
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana (2010)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (2012–2013)
4. Balozi wa Tanzania
Brazil (2016–2021)
Misri (2022–2023)
5. Katibu Mkuu wa CCM – kuanzia Januari 2024 hadi sasa.
6. Mgombea Mwenza wa Rais (2025)
Ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Makamu wa Rais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
amewahi kuwa mkuu wa wilaya piaDr. Emmanuel Nchimbi amewahi kushika nafasi mbalimbali za ajira na uongozi, nyingi zikiwa ndani ya serikali na chama. Mpangilio wake wa kazi unaweza kuonekana hivi:
Ajira na Nafasi Alizoshika
1. Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini – (2005–2015)
Alichaguliwa kupitia CCM na kushiriki kikamilifu katika mijadala na kamati za Bunge.
2. Naibu Waziri katika wizara kadhaa (2006–2010)
Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana
Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
3. Waziri
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana (2010)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (2012–2013)
4. Balozi wa Tanzania
Brazil (2016–2021)
Misri (2022–2023)
5. Katibu Mkuu wa CCM – kuanzia Januari 2024 hadi sasa.
6. Mgombea Mwenza wa Rais (2025)
Ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Makamu wa Rais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
Mi nachojua ni Makamu wa Rais na ndiye rais baada ya Samia na baada ya hapo Ridhiwani Kikwete ndiye RaisDr. Emmanuel Nchimbi amewahi kushika nafasi mbalimbali za ajira na uongozi, nyingi zikiwa ndani ya serikali na chama. Mpangilio wake wa kazi unaweza kuonekana hivi:
Ajira na Nafasi Alizoshika
1. Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini – (2005–2015)
Alichaguliwa kupitia CCM na kushiriki kikamilifu katika mijadala na kamati za Bunge.
2. Naibu Waziri katika wizara kadhaa (2006–2010)
Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana
Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana
Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
3. Waziri
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana (2010)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (2012–2013)
4. Balozi wa Tanzania
Brazil (2016–2021)
Misri (2022–2023)
5. Katibu Mkuu wa CCM – kuanzia Januari 2024 hadi sasa.
6. Mgombea Mwenza wa Rais (2025)
Ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Makamu wa Rais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
We mwanamke nakuchukuliaga mrembo na mlaini..kumbe mzitoTeam Lowassa lia lia,mwanamtandao ambae hakuwahi kuasi .Ni mmiliki wa account ya Kigogo twitter.Yaani ndoto yake ni kuwa Rais bila kutoa Jasho kama ilivyokuwa kwa Samia.Inshort Samia hatomaliza term ya pili.I wish this time jeshi liingilie kati .
in workWe mwanamke nakuchukuliaga mrembo na mlaini..kumbe mzito
Nilicheza naye sana chandimu pale Liuli kandokando ya ziwa Nyasa.Ni mmatengo.
Em sema kweli?Nilicheza naye sana chandimu pale Liuli kandokando ya ziwa Nyasa.
Hivyooo yaani 😎😎
Yaani amini usiamini.Em sema kweli?