The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 4,880
- 10,477
Ni muhuni tu kama pole pole
January si Kigogo,kumbuka Kigogo kamsema vibaya sana January alipokuwa Nishati.Mara asemwe februari ndo kigogo.. Nawe umekuja na hii ya john
Ila kishule ni kilaza kwa kweli.Kazaliwa Mbeya kakulia Dar baba ake alikua RPC Mtwara
Kasoma
primary Oysterbay
O level Uru na Sangu Mbeya
A level Forest Hill Mbeya
Chuo IDM Mzumbe
Mtoto wa mjini haswa
Mngoni mpe pesa atafikisha ....
Kwani Samia alipenyaje?Kivipi atapenya? SSH atakuwa wap muda huo?
Baba polisi na mama mwalimu.So,wazazi wake walikuwa watumishi?
Nachoka roho na mwili mimi jamaniTeam Lowassa lia lia,mwanamtandao ambae hakuwahi kuasi .Ni mmiliki wa account ya Kigogo twitter.Yaani ndoto yake ni kuwa Rais bila kutoa Jasho kama ilivyokuwa kwa Samia.Inshort Samia hatomaliza term ya pili.I wish this time jeshi liingilie kati .
Daaah humjui anamafaili ya kufa mtu.We mwanamke nakuchukuliaga mrembo na mlaini..kumbe mzito
Ni kweli dingi yake alikuwa RCP Moro zen akaenda mtwara.Form v na vi alisoma Foresthill ya Morogoro sio Mbeya.
Advance kasoma Forest hill ya Morogoro iliyokua ya muhindi Patel na pale alipata kuwa head boy mpaka anamaliza shule. Moja ya legacy yake aliacha pale kama head boy yeye ndie alikua chanzo cha advance pale forest hill kuanza kuvaa suruali hapo nyuma sare za forst hill kuanzia o'level mpaka advance wote walikua wakivaa pensi/kaptura.Ya Mbeya !!!
Alisimama na Lowasa kwa nguvu zote sababu alinunuliwa na Lowasa kwa pesa nyingi, na yamkini alijua Lowasa akipita atapewa uwaziri mkuu. Huyo mtu hafai.Yes Nchimbi idara kitambo na mtu mwenye msimamo sana sijui ilikuaje akakubali kua makamu bila kufuata taratibu na ni mtu anaekijua chama pia vizuri. Nchimbi ni mtu msimamo anaemchukulia poa Nchimbi ni wakumuonea huruma yeye ndo alietoka nje wakati wamemkata Lowassa na kusema CCM haijafuata taratibu mbele ya kina Mkapa na JK nafikiri alipewa Umakamu asimsumbue
La hakika kabisa, February siyo Kigogo. Kuna wakati fulani kabla Kigogo hajawa maarufu (kipindi cha kuelekea uchaguzi wa 2015), Kigogo aliishambulia sana familia ya kina February, alimtuhumu February na dada yake wa Mtandaoni kujihusisha na kumtapeli mzungu fulani, lakini pia aliwananga ndugu zake wengine kwa ulevi.Mara asemwe februari ndo kigogo.. Nawe umekuja na hii ya john
Umesahau, ALIWAHI KUFUKUZWA CCMUmesahau amewahi kuwa m/kiti wa UVCCM taifa
Watajuana wenyew,kikubwa kila tarehe 23 mambo yanasoma vizuriKwani Samia alipenyaje?
Haiwezekani huyo gogo original wa Twitter sio wale fake wa Facebook na insta kama ni huyu asingekuwa anamwandika vibaya kiasi hicho godfather wake manvi alipoenda kwenye vidole viwiliJanuary si Kigogo,kumbuka Kigogo kamsema vibaya sana January alipokuwa Nishati.