Kungu Kayuki
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 351
- 203
Ufito mweupe kwenye kamba ya bendera ni kuonesha AMANI
Soma uzi uuelewe ndio nyie mnafeli mitihani kwa ajili ya haraka hata mie najua ni utambulisho.Huo ni utambulisho sio ubunifu
Wapinzani mnapinga hadi bendera?
Sio kila aliyomo humu ni wapinzani mawazo ya kitotoHuo ni utambulisho sio ubunifu
Wapinzani mnapinga hadi bendera?
Bendera hii imepatikana tangu 30 Juni 1964 kutokana na muungano wa Tanganyika naWadau naamini tuliowengi tumeikuta bendera ya Tanzania.Binafsi simfahamu aliyeibuni zile rangi na mpangilio wake ,iwapo kuna mtu anamfahamu naomba atujuzeView attachment 1259916