Anatamani maisha ya uraiani sema ndio vile tena walijaribu kucheza na sharubu za simba.NO POINT OF RETURN kwa wataalam wa physics wanaita.Angalia picha hii na jifunze jambo na uepuke lisikutokeeView attachment 1906885
Hii kiingereza mkuu 🤣 🤣 🤣Na wataalamu wa biology wanasema 'THAT'S A NON LIVING THINGS'
Tunazungumzia scenario shekh!!!Na wataalamu wa biology wanasema 'THAT'S A NON LIVING THINGS'
Hiyo ngeli sasa aliyoandika hapo 🤣 🤣 ,nilijua tu lazima achapie
Mambo ya RAS Simba shee 🤣 🤣 🤣
Muhuni yule ukishindwa kuongea ngeli anakwambia umerogwaMambo ya RAS Simba shee![]()
![]()
![]()
Najifunza kuwa Mbowe ni king'ang'anizi pia kuwa siasa ina ulaji mkubwa kwake vinginevyo asingekuwa tayari kudhalilika hivi.Angalia picha hii na jifunze jambo na uepuke lisikutokeeView attachment 1906885
Inauma hiyooooooo.!Hii kiingereza mkuu 🤣 🤣 🤣
Mkuu kwa jinsi unavyo wapelekaga mperampera vijana kule forum ya ajira sikutegemea unaweza toa boko namna hii 🤣 🤣 🤣Inauma hiyooooooo.!
Duuh wapi tena hiyo mzee wanguMkuu kwa jinsi unavyo wapelekaga mperampera vijana kule forum ya ajira sikutegemea unaweza toa boko namna hii 🤣 🤣 🤣
StupidAnatamani maisha ya uraiani sema ndio vile tena walijaribu kucheza na sharubu za simba.NO POINT OF RETURN kwa wataalam wa physics wanaita.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
English Course ni laki moja tu kwa mwezi.Inauma hiyooooooo.!
Mkuu anaangalia nje watu wanavyoendelea na shughuli zao kama tumemuacha vile...Angalia picha hii na jifunze jambo na uepuke lisikutokeeView attachment 1906885
Huku kwetu n 15000 kwa mwezi, wanafundisha American EnglishEnglish Course ni laki moja tu kwa mwezi.
Tembea hata na dictionary.Huku kwetu n 15000 kwa mwezi, wanafundisha American English