akilinene
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 525
- 445
- Thread starter
- #21
Mkuu nyie mnamkumbuka moyoni, yeye ananyea debe, ndiyo tujifunze mwenye kulitafuta, mwenye kulipataMkuu anaangalia nje watu wanavyoendelea na shughuli zao kama tumemuacha vile...
Ila namuambia uchungu na malipizi yapo mioyoni mwetu..tuko pamoja naye