NkumbiSon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,526
- 3,563
Ila na Roho Mbaya inachangia kuyafanya maisha ya wengine yawe magumu.LIfe is tough.
Yote kwa yote tutakufa tu.
Tupambane
Ila na Roho Mbaya inachangia kuyafanya maisha ya wengine yawe magumu.LIfe is tough.
Yote kwa yote tutakufa tu.
Tupambane
Hizi kazi kwa siku pato Lake linasogeza hata maisha ya kujitegemea? Au ilimradi utoke home?. Mana next year nataka nikadondoshe kichumba kimoja sehem hiv nianze na ufugaji wa kuku wa kiswahili na kilimo kama.. maeneo ya suburban ni mazur kwa urban farming.sasa zile namba unazani zinapatikanaje... iko hivi.. nakusajilia mpaka mwisho nakwambia mtandao unasumbua ila ukweli ni kwamba ussjili ilikamilika, hapo anakua kapata line ya kuiuza kwa tapel. ndio maana tunasisitizwa kukagua mara kwa mara namba zetu za NIDA zimesanili namba zp. usiyoijua futa fasta.
Namuona Sales Representative OfficerAsee 🤔
Tupia neno moja kwa kuangalia picha hii.. kuna mengi sana yamejificha hapo.
View attachment 3076551
Ndugu sio? Ndugu wapo tu... muulize Evelyn Salt yaliyomkuta pale Ifakara hana hamu naoIla na Roho Mbaya inachangia kuyafanya maisha ya wengine yawe magumu.
Ukipata wazo na mtaji wakufanya kitu, we fanya... hii miradi ya kiserikali wenye sign zao hulazimisha iwe yenye manufaa kwao. hata huyo kwenye picha unaweza kuta anamfanyia kazi kiongozi wa serikali mwenye dhamana yakuhakikisha maisha ya wananchi yanakua bora.Hizi kazi kwa siku pato Lake linasogeza hata maisha ya kujitegemea? Au ilimradi utoke home?. Mana next year nataka nikadondoshe kichumba kimoja sehem hiv nianze na ufugaji wa kuku wa kiswahili na kilimo kama.. maeneo ya suburban ni mazur kwa urban farming.
What you think if Dkt. Gwajima D chini ya wizara yake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kama dellloite na pharmacess wakaandaa mradi kama hii kusapoti vijana wenye nia?. Urban farming haihitaj mtaj mkubwa ni kama 1.2 m per unit?
Kiingereza tuu hicho bruh 😄Mbona umempa jina kubwa sna na mnamlipa kidogo imekuaje?
Unaambiwa kila laini ukisajiri unapata buku, ukisajiri laini 30 kwa siku ni elfu 30 bado hujauza vocha na mazaga kibao.hii michongo huwa ina promo za uongo sana . unahakikishia mafanikio ila ukiingia field unaona bora ungegoma. ila Tutaishi vipi kama Weusi?
Mpewe nauli na chai ili mrudu mageton kuandika report za uongo uongo wakat huo boss anajua uko market mtaani????Pesa ya facilitation inatoka au? Kama nauli hiv hel ya chai?
Afisa mauzoKiswahili chake ni nn?
Utamshawishi nn mteja na nja imetoka tumboni imehamia kichwani? Kumbe have cello wana nafuu mana wanakupa nauli buku 3Mpewe nauli na chai ili mrudu mageton kuandika report za uongo uongo wakat huo boss anajua uko market mtaani????
Unajipiga udi tuUnaambiwa kila laini ukisajiri unapata buku, ukisajiri laini 30 kwa siku ni elfu 30 bado hujauza vocha na mazaga kibao.
Ingia sasa mtaani, wana hata vocha ya jero huuzi, ukifanikiwa kusajiri hazizidi Tatu kwa siku nzima
na utakuta mwamba ana mpenzi 😐😐 na anaishi hivyoAsee 🤔
Tupia neno moja kwa kuangalia picha hii.. kuna mengi sana yamejificha hapo.
View attachment 3076551
Hiv unajua kuna matatizo kama pandemic zile communicable hayaondoki mpaka kuwa na equity life economically?. UKIMWI, GBV na ujinga ujingwa mwingine uliofungamana sababu zinazoashiria umaskin haziondoki mpka umaskini uondoke. Na empowerment hasa ya uchumi ina michango chanya kutatua changamoto zisizosikia dawa zake.Ukipata wazo na mtaji wakufanya kitu, we fanya... hii miradi ya kiserikali wenye sign zao hulazimisha iwe yenye manufaa kwao. hata huyo kwenye picha unaweza kuta anamfanyia kazi kiongozi wa serikali mwenye dhamana yakuhakikisha maisha ya wananchi yanakua bora.