Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Wakuu mnaikumbuka soda iliyokuwa ikizalishwa na kiwanda kimoja huko Mwanza iitwayo DOUBLE COLA?
Nakumbuka soda hiyo ilikuwa nzuri sana kiasi kwamba ilitishia soko la soda zingine zenye majina makubwa. Mafisadi watakuwa walikifanyia fitna ili waendelee kutunyonya na soda zao zinazotoa harufu mdomoni na ukakasi kibao.
Nakumbuka soda hiyo ilikuwa nzuri sana kiasi kwamba ilitishia soko la soda zingine zenye majina makubwa. Mafisadi watakuwa walikifanyia fitna ili waendelee kutunyonya na soda zao zinazotoa harufu mdomoni na ukakasi kibao.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kazi kwako mkuu!