The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 87
Tatizo la love connect ya Watanzania bado haijawa serious...Ukisema unatafuta basi watu wantakuwa wanakusanifu...Bado wanafikra mbovuuu...
Tunatakiwa tubadilike tuwe serious katika mambo tunayoyafanya ..... Wako wengi wanakosa wenza ila kupost inakuwa ngumu.....
Bora hiyo ya kutafuta wenza iwe ya kulipia kama Elfu kumi then mtu kutoa comment mbovu mbovu itakuwa shida sababu inagharimu...Ambaye yupo serious atalipa sababu anashida ya kutafuta mwenza... Ni mawazo yangu..
Nakazia mode iwekeni hii iwe hivyo na watu watakua serious na wengine tutapata wachumba bila vikwazo.
Tunatakiwa tubadilike tuwe serious katika mambo tunayoyafanya ..... Wako wengi wanakosa wenza ila kupost inakuwa ngumu.....
Bora hiyo ya kutafuta wenza iwe ya kulipia kama Elfu kumi then mtu kutoa comment mbovu mbovu itakuwa shida sababu inagharimu...Ambaye yupo serious atalipa sababu anashida ya kutafuta mwenza... Ni mawazo yangu..
Nakazia mode iwekeni hii iwe hivyo na watu watakua serious na wengine tutapata wachumba bila vikwazo.