Unaibiwa?? chukua dawa

:A S cry: Ooooh jamani kama mtu anaibiwa --- aende tuu kwa BABU apate KIKOMBE hahahahahhaahahhahahhahaha
 
ABSOLUTELY -- LAKINI 2 THES. 3:10 ; KAMA JAAMA ANASHINDWA JE ??? MSAIDIZI LAZIMA AWEPO :caked: NAOMBA TU NISIPATE KISUKARI ??? BORA NIENDE KWA BABU HAHAHAHAHAH
 
Kama hauna imani na mwenzi wako,..
hauamini kama kila simu anayo pokea sio ya vimada au vidumu,...

unaweza kuondoa hofu hiyo,kwa kumfuatilia kisiri siri katika mawasiliano
yake yote!
Akipigiwa simu,na wewe utasikia maneno yote (kwenye simu yako)!
Kila sms atakayo pokea utaipata pia (kwenye simu yako)!

Nitafute,nipe namba yako ya simu,nikupe ujanja huo!

Note:
1.Rafiki yangu ali m-track girlfriend wake,msichana alipo gundua anafutiliwa katika mawasiliano waliachana!
2.kuna msichana alim-track boyfriend wake,alipo pata alichotaka alifeli mitihini yake kwa mawazo!

Warning:
Nita kusaidia ila "AT YOUR OWN RISK",...:israel:

nipe maujuz niko kwenye hard time kiaina ktk hii uusiano nlio nao
 
Back
Top Bottom