Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Mpenzi afadhali wewe unaelewa... Nikupatie form ??
hahahaha! Assistant wa speaker ndio ushaanza kazi?
Hiyo form isiwe na malipo tu.
Mpenzi afadhali wewe unaelewa... Nikupatie form ??
Ya kukosea njia itajulikana tu husitie shaka. Kazi inafanywa kwa umakini mkubwa. Sms ni kianzio. Physical tracing is all that the client needs.
na wewe unajisikia raha kuvunja mahusiano ya watu? na zile msg zinazokosea njia ,angalia usije ukahukumiwa kwa kubeba dhambi hiyo.
hahahaha! Assistant wa speaker ndio ushaanza kazi?
Hiyo form isiwe na malipo tu.
1ST lady jamani... ni kwa wale wanaotaka tu.... Biashara hii rafiki.....
Sasa mtambo ndio unakuja huo unatrace kuanzia laptop, phone mpaka human being! Cheater sijuhi watafute njia gani mbadala
Amna malipo kabisa, utalipia tu helicopter itayoleta hio form...
Bacha unahitaji form???
duh! Cheaters washaharibiwa soko.
dah! Aisee asha, hicho kitendo hakina tofauti na kujinunulia sumu.
Naomba ulinzi tu darling!!!!!!
When one door is closed,
others are open.
Hulijui hilo Husninyo?
Kama hauna imani na mwenzi wako,..
hauamini kama kila simu anayo pokea sio ya vimada au vidumu,...
unaweza kuondoa hofu hiyo,kwa kumfuatilia kisiri siri katika mawasiliano
yake yote!
Akipigiwa simu,na wewe utasikia maneno yote (kwenye simu yako)!
Kila sms atakayo pokea utaipata pia (kwenye simu yako)!
Nitafute,nipe namba yako ya simu,nikupe ujanja huo!
Note:
1.Rafiki yangu ali m-track girlfriend wake,msichana alipo gundua anafutiliwa katika mawasiliano waliachana!
2.kuna msichana alim-track boyfriend wake,alipo pata alichotaka alifeli mitihini yake kwa mawazo!
Warning:
Nita kusaidia ila "AT YOUR OWN RISK",...:israel:
nahitaji hiyo kitu mzee my number is 068371092
nahitaji hiyo kitu mzee my number is 068371092
Speaker/ Asha mmeona wateja hao. Mbona naanza kuwaonea wivu. You people are gonna be rich!