Unahisi uzi gani utashinda Story of change 2023?

KENGE 01

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
1,592
3,839
Wanabodi

Jukwaa na shindano la story of change(2023) linafikia tamati.huku watu wakichuana vikali sana nyuzi zao zikiwa zimesheheni votes na madini ya kutosha.
IMG_20230728_230848_749.jpg

Kwa upande wangu naona msimu wa kwanza 2021 ndo ulikua na moto sana.yani ule msimu kulikua na nyuzi za madini mengi sana,kufundisha kuelimisha.

Msimu wa kwanza 2021 kuna member kama mshana,kapili walikuja na nyuzi pamoja na umaarufu wao hapa JF lakini waliangukia pua vibaya sana,Hii inatokana na ushindani uliokuwepo msimu huo.Achana na sisi kina KENGE ambao uzi haukupata hata comment moja.

Hongera nyingi kwa mwanadada yule aliye ibuka mshindi na uzi wake wa (Umuhimu wa kuwa na dira ya taifa....)

Msimu wa pili 2022
Huu msimu nao ulikua si haba.Watu walikuja na nyuzi nzuri sana lakini kuna jambo linanitatiza kidogo.Mfano aliandika kulwa(Mshindi wa SOC 2022) Uzi wake ulionesha ubunifu alioufanya kwa kuvumbua kifaa cha kutatua changamoto ya umeme kwa wapangaji.

Lakini mpaka kesho picha za icho kifaa hatuwahi kuziona(Labda kuna alieziona atwambie) swali ni Je!Kamati ya majaji ilihakikisha vipi inathibitisha kifaa hicho??Na Je!Ni kweli ni ubunifu au Modification.Yani kuchukua idea sehemu na kuifanyia kazi??
IMG_20230728_230833_622.jpg

Yote tisa la kumi HONGERA ZA DHATI kwa mshindi wa SO 2022

Sasa tupo hapa SOC 2023
Kwakweli kwa maono yangu msimu huu ulikosa muamko kama ule wa 2021.Nyuzi zilizopo humu kwenye la SOC 2023 haziendani na hadhi ya zawadi .Licha ya dau nono la Tsh 20 Million kuwekwa mezani Lakini bado hatujaona nyuzi za kusisimua akili(nikiwemo na mimi KENGE)

Sasa swali kwa wachangiaji wenzangu wa jukwaa lile la SOC 2023 mnahisi nani ataibuka na ushindi kwa msimu huu wa 2023..Ni akili na vidole tu vitakufanya ushinde wala hutumii nguvu.
IMG_20230728_230922_768.jpg

Na nyinyi msioshiriki pitieni lile jukwaa msome nyuzi za wadau,kisha mtoe mawazo yenuzkusha mchallenge mtoa mada lakini usiache kumuinua kwa kumpa vote na kumpa moyo bila kujali tofauti zenu hapa jamvini.Kwani JF dakika moja usalama dakika ya pili ni vita

JE UNAHISI UZI GANI UTAIBUKA KIDEDEA SoC 2023??
 
Hili wala si kwa wanajukwaa, bali kwa kamati ya uandaaji na team nzima ya JF.

Waliwabana sana watu. Kwamba andiko liwe lenye kuhusu utawala bora na nini sijui.

Watu wangepewa uhuru wa kujiandikia basi hakika tungejionea nyuzi zenye nguvu na msisimko wa aina yake.

Utawala bora tu ni msamiati mgumu katika jamii yetu. Watu wengi hawana uelewa na nini haswa maana ya utawala bora. Na kwa mantiki hiyo nyuzi nazo zinakosa msukumo wenye ubunifu.

Hata hivyo, watapatikana washindi. Kila la kheri kwa wote walioshiriki.
 
Aloooooooooo.
mwanzoni kabisa mwa shindano hili la msimu huu wa tatu nilishiriki kwa kuandika nyuzi tatu na lengo ilikuwa sio kushindani hayo mamilioni bali ni kujipima uwezo wa kuandika kama niko fresh baada ya kujiassess nikatambua mapungufu yangu nikayafanyia kazi lakini sitoandika story of change yoyote kwa sasa bali nasubori msimu unaofuata kama utakuwepo na kama mungu akinipa pumzi na afya.
 
Hili wala si kwa wanajukwaa, bali kwa kamati ya uandaaji na team nzima ya JF.

Waliwabana sana watu. Kwamba andiko liwe lenye kuhusu utawala bora na nini sijui...
Point unayo aisee

Mfano nyuzi ya ubunifu,uigeuze kuwa uwajibikaji na utawala bora kazi ipo

Hata ivyo insha au nakala lazima iwe na mada siwalaumu..mfano ile 2021 kuna jamaa aliandika "Nimekuwa daktari kwa msukumo wa Mama yangu aliebakwa akanizaa" sasa nyuzi kama hizi zinatia ukakasi kidogo
 
Aloooooooooo.
mwanzoni kabisa mwa shindano hili la msimu huu wa tatu nilishiriki kwa kuandika nyuzi tatu na lengo ilikuwa sio kushindani hayo mamilioni bali ni kujipima...
Shindano ni endelevubkwa mujibu wao..tuombe uzima tu ni vidole na akili nothing else
 
Hili wala si kwa wanajukwaa, bali kwa kamati ya uandaaji na team nzima ya JF.

Waliwabana sana watu. Kwamba andiko liwe lenye kuhusu utawala bora na nini sijui.

Watu wangepewa uhuru wa kujiandikia basi hakika tungejionea nyuzi zenye nguvu na msisimko wa aina yake.

Utawala bora tu ni msamiati mgumu katika jamii yetu. Watu wengi hawana uelewa na nini haswa maana ya utawala bora. Na kwa mantiki hiyo nyuzi nazo zinakosa msukumo wenye ubunifu.

Hata hivyo, watapatikana washindi. Kila la kheri kwa wote walioshiriki.
Kunywa Mofaya bill mwachie billnas anakuja kulipa
 
nimepitia hilo jukwa kwanza kabisa sikua najua kitu lakini naona nyuzi nyingi zina single digit vote
 
Wanabodi

Jukwaa na shindano la story of change(2023) linafikia tamati.huku watu wakichuana vikali sana nyuzi zao zikiwa zimesheheni votes na madini ya kutosha.
View attachment 2701765
Kwa upande wangu naona msimu wa kwanza 2021 ndo ulikua na moto sana.yani ule msimu kulikua na nyuzi za madini mengi sana,kufundisha kuelimisha.

Msimu wa kwanza 2021 kuna member kama mshana,kapili walikuja na nyuzi pamoja na umaarufu wao hapa JF lakini waliangukia pua vibaya sana,Hii inatokana na ushindani uliokuwepo msimu huo.Achana na sisi kina KENGE ambao uzi haukupata hata comment moja.

Hongera nyingi kwa mwanadada yule aliye ibuka mshindi na uzi wake wa (Umuhimu wa kuwa na dira ya taifa....)

Msimu wa pili 2022
Huu msimu nao ulikua si haba.Watu walikuja na nyuzi nzuri sana lakini kuna jambo linanitatiza kidogo.Mfano aliandika kulwa(Mshindi wa SOC 2022) Uzi wake ulionesha ubunifu alioufanya kwa kuvumbua kifaa cha kutatua changamoto ya umeme kwa wapangaji.

Lakini mpaka kesho picha za icho kifaa hatuwahi kuziona(Labda kuna alieziona atwambie) swali ni Je!Kamati ya majaji ilihakikisha vipi inathibitisha kifaa hicho??Na Je!Ni kweli ni ubunifu au Modification.Yani kuchukua idea sehemu na kuifanyia kazi??
View attachment 2701768
Yote tisa la kumi HONGERA ZA DHATI kwa mshindi wa SO 2022

Sasa tupo hapa SOC 2023
Kwakweli kwa maono yangu msimu huu ulikosa muamko kama ule wa 2021.Nyuzi zilizopo humu kwenye la SOC 2023 haziendani na hadhi ya zawadi .Licha ya dau nono la Tsh 20 Million kuwekwa mezani Lakini bado hatujaona nyuzi za kusisimua akili(nikiwemo na mimi KENGE)

Sasa swali kwa wachangiaji wenzangu wa jukwaa lile la SOC 2023 mnahisi nani ataibuka na ushindi kwa msimu huu wa 2023..Ni akili na vidole tu vitakufanya ushinde wala hutumii nguvu.
View attachment 2701766
Na nyinyi msioshiriki pitieni lile jukwaa msome nyuzi za wadau,kisha mtoe mawazo yenuzkusha mchallenge mtoa mada lakini usiache kumuinua kwa kumpa vote na kumpa moyo bila kujali tofauti zenu hapa jamvini.Kwani JF dakika moja usalama dakika ya pili ni vita

JE UNAHISI UZI GANI UTAIBUKA KIDEDEA SoC 2023??
Nimepitia pitia nyuzi kadhaa, nikakutana na huu uzi hapa. Walau nimeona kuna kitu cha tofauti ameandika. Amewasilisha mawazo yake ya kubuni ambayo kwa haraka haraka yanaeweza kuwa chachu ya mabadiliko kama yakiwekwa katika uangalizi. Wapo wengine pia wameandika vyema sana. Ila huyu nimeona kitu cha tofauti
 
Nimepitia pitia nyuzi kadhaa, nikakutana na huu uzi hapa. Walau nimeona kuna kitu cha tofauti ameandika. Amewasilisha mawazo yake ya kubuni ambayo kwa haraka haraka yanaeweza kuwa chachu ya mabadiliko kama yakiwekwa katika uangalizi. Wapo wengine pia wameandika vyema sana. Ila huyu nimeona kitu cha tofauti
Acha tuone
 
Back
Top Bottom