Unahisi hapo alikuwa anasema wachukue ngapi ngapi?

chavdy

Senior Member
Feb 29, 2016
181
120
IMG-20170121-WA0010.jpg
 
Ila nchimbi mwanaume yaani misukosuko aliyopitia huko kuanzia kwenye team blah blah tena bila kificho wenzake wote wengi chali ila yeye kidume anaendelea kuaminiwa na kupewa mikoba
 
Ila nchimbi mwanaume yaani misukosuko aliyopitia huko kuanzia kwenye team blah blah tena bila kificho wenzake wote wengi chali ila yeye kidume anaendelea kuaminiwa na kupewa mikoba
Pengine ameonekana akiwa hapa anaweza kuwa tishio kwa chama acha akafichwe huko chini ya uangalizi wa jicho la mwewe labda atatulia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom