Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Huyo yuko kwenye heat.... ndo kawaida yao watu wa namna hiyo katika tarehe hizoMbowe kaingiaje hapa
Huyo yuko kwenye heat.... ndo kawaida yao watu wa namna hiyo katika tarehe hizoMbowe kaingiaje hapa
Wife... nimesoma sehemu kumbe makande ni chakula bora sana. Hivi sasa itabidi tuyale kama doziHahahah ngoja waje......
mkuu mimi niko vizuri sina haya ya kukosa amani nachofanya ni kuwasilisha ujumbe toka ofisi za umma kwenda kitaani.Huyu mtani wangu ni mtumishi wa umma,lakini ni ukawa damudamu,na tangu posho na safari za kikazi zipungue huko kwa mwanamehesabu mkuu,yaani amekosa amani kabisa..
haaah haah babu unaua,heeHuyo yuko kwenye heat.... ndo kawaida yao watu wa namna hiyo katika tarehe hizo
Kama angekuwa mrembo @evelynsalt usingemgonga na Windhoek?Kuna mzembe mmoja kanikuta nagonga nyagi yangu kwa amani eti anataka nimtwange na viheinneken viwili. Nyambaf! Anafikiri mimi ndo sipendi kuongeza damu kwa maji safi tokea kwa wakoloni??
Uzuri Evelyn Salt si mtu wa magharama kiviile. Ye hata umlishe makande ili mradi tu kitandani umpe ile chakula ya baba na mama kwa ufanisi uliotukukaKama angekuwa mrembo @evelynsalt usingemgonga na Windhoek?
Hawa vibwengo wanaudhi bhana...haaah haah babu unaua,hee
Kuna mzembe mmoja kanikuta nagonga nyagi yangu kwa amani eti anataka nimtwange na viheinneken viwili. Nyambaf! Anafikiri mimi ndo sipendi kuongeza damu kwa maji safi tokea kwa wakoloni??
Sio Wasomali bhana,walifikiri vyama vya upinzani tu ndio wataisoma namba,sasa mikia imekimbilia katikati ya miguu,subirini tu,iko siku mtaambiwa mfunge mikanda kwa miezi 18 ya shida,halafu itakuwa miaka 108,eti sukari isiagizwe nje ila kwa vibali,itakuja wakati kama uleeee wa ujamaa,gari ikikata fan belt inakaa hapo hapo mpaka inaoza coz fan belt nchi nzima hakuna,na basi la kijiji likiharibika inabidi waitwe waganga wa kienyeji kutambika na kujaza matunguli na hirizi kila kona ya basi eti TWALOGAGWA NKOI,kumbe spea hakuna nchi nzima.Mkuu hata nikilalamika anko magu kubana hakuna kitakachobadilika kilichobaki acha tuisome namba kuna watu walifikiri watakaoisoma namba ni wasomali
Yes! Diet woyeeeeeee!Hahaha muambie ajitumbue wala huhusiki na hayo.
Mwendo ni konyagi na matango, tunafanya diet atuwache.
Kwa akili kama zako,hii nchi itabakia ya wanywa gongo na vibaka tu,sasa Mbowe kaingiaje hapa,kama kauza chama ndio watu waache kufikiria maisha na jinsi ya kuikosoa serekali eti kwa sababu Mbowe kauza chama,wewe unamsema Mbowe wakati yeye wala hajui wewe unapigika kiasi gani,yeye anakula bata na wala humpunguzii wala kumuongezea kitu,kunywa viroba vyako upate stimu usahau kidogo ukali wa maisha japo kwa usiku mmoja.Chadema ni bora mngejikita kuhoji ni kwa nini Mbowe aliuza chama chenu???
Naamini bila mbowe kuuza chama msingekengeuka kiasi hiki.
Leo mnapinga kila kitu na kujidai mnadai democrasia wakati ndani ya chadema hamna hata tone la democrasia.
Dozi yake ikoje?, kutwa mara ngapi??Wife... nimesoma sehemu kumbe makande ni chakula bora sana. Hivi sasa itabidi tuyale kama dozi
Mbowe aanze kuitisha maandamano jimbo la Hai kwanza, hatutaki maandamano Mwanza.Kwa akili kama zako,hii nchi itabakia ya wanywa gongo na vibaka tu,sasa Mbowe kaingiaje hapa,kama kauza chama ndio watu waache kufikiria maisha na jinsi ya kuikosoa serekali eti kwa sababu Mbowe kauza chama,wewe unamsema Mbowe wakati yeye wala hajui wewe unapigika kiasi gani,yeye anakula bata na wala humpunguzii wala kumuongezea kitu,kunywa viroba vyako upate stimu usahau kidogo ukali wa maisha japo kwa usiku mmoja.
Dose ya pain killer mama. Yani kiroho safiDozi yake ikoje?, kutwa mara ngapi??
NotedKwa kupigwa kwako, sisi tumepona. Mbona 'umesahau' kuzungumza jinsi pesa zako zilivyokuwa zinamfadhili demu wangu kiasi cha kumfanya anione mimi si lolote, si chochote?
huyu anajitambua kweli?Mbowe aanze kuitisha maandamano jimbo la Hai kwanza, hatutaki maandamano Mwanza.