linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,700
- 4,326
Hapa kibano tu...kwa kupigwa kwetu nao wamepigika
umemaliza mkuuHapa kibano tu...kwa kupigwa kwetu nao wamepigika
Hapa 2natengeneza equality of economy xababu gap lilkua kubwa sana.Potelea mbali, Ngoja hali iwe ngumu tu. tulikokuwa tunaelekea palikuwa panatisha kuna watu vyakula vilikuwa vinaoza wengine hawana. Je, Serikali hailipi mshahara, Nchi haiwezi kuendelea kwa kuwekeza kwenye warsha na semina elekezi, Badala ya kusafiri wataalamu kwenye ziara za kujifunza namna ya kukuza miji na kilimo cha kisasa na mambo ya technologia eti tulikuwa tunawapeleka wabunge wengine wameishia darasa la 7, wengine wamesoma lakini sio taaluma zinazowahusu kwenye taaluma husika. Hivi nyie hamkuwahi kusikitika kusikia Serikali inapewa mikopo na wafanyabiashara wa ndani tena sio kwajili ya maendeleo, ni kwaajili ya mishahara ya watumishi wake. Ngoja tu tulie wote, lakini kilio chetu hakitaenda bure
Hawajui kuwa walimu ndo wana hela siku hiziUmenikumbusha rafiki zangu wanadharau kazi yangu cha ajabu wanapiga simu za kunikopa pesa.
Mara Mr naomba uniazime Tsh500,000 nitakulipa.
Wengine wamefunga biashara mimi naendelea na kazi yangu.
Asante mkuu.Bila shaka wewe ni mwalimu. Hongera sana kwa kutoguswa na hii shake up.
nani huyo mkuuwatu wanasema tumepigika wote huku kuna mtu kaalika watu futari juzi na kuwagawia na I phone wageni wake wote...
hapo ndio amefilisika eti
nani huyo mkuu
Kuna mzembe mmoja kanikuta nagonga nyagi yangu kwa amani eti anataka nimtwange na viheinneken viwili. Nyambaf! Anafikiri mimi ndo sipendi kuongeza damu kwa maji safi tokea kwa wakoloni??Ripple effect is real!