wadau nnaombeni mchango wenu:
hivi ingekuwaje wanaume nao wangekuwa wanabeba mimba? mkisha fanya ngono mimba ni fifte fifte kwa mwanaume au mwanamke. maza aliniambia wangekuwa wanabomoa nyumba kwa kula udongo!! we unaona ingekuwaje ?
wadau nnaombeni mchango wenu:
hivi ingekuwaje wanaume nao wangekuwa wanabeba mimba? mkisha fanya ngono mimba ni fifte fifte kwa mwanaume au mwanamke. maza aliniambia wangekuwa wanabomoa nyumba kwa kula udongo!! we unaona ingekuwaje ?
Hata kwa sasa inawezekana inawezekana ukitaka kuamini mpatie bint mimba afu nenda sumbawanga waambie unataka ikuhamia athama vyema kabisa na utakuwa amebeba mimba