joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Wachana na huyo boya. Yeye bado anapiga tarumbeta kwa niaba ya alshabaab ilihali kwa wakenya ilishaa kuwa ndwele, ni kazi tuu wanachapa kuboresha uchumi, nkt!..Ndio nitapata fursa ya......
Mbona hawaji? Si uwatangulize mwoga wewe.Kazi yako kujisifia humu na unaogopa hata mende! Bure kabisa!
Hahahaha, Leo kwasababu Bongo fleva imetawala Kenya, wanasema Tanzania ni nchi ya kigeni, ila bidhaa zao zikizuiliwa kuja Tanzania wanazungumzia spirit ya EAC, kwani mziki wa Tanzania sio bidhaa kama bidhaa zingine za EAC, vipi waanze kuzibagua na kusema unatoka nchi za nje kwahiyo usipigwe Kenya?Mi nafikiri wapo sahihi wasanii wa kenya nazani wameona ilo gap la kutochezwa ngoma zao ktk redio station nafikiri kenya kuna redio station nyingi kali kali so wasanii wakipata airtime watakuwa ma busy kufanya ma interview na kutambulisha ma song apparently watapata shows nyingi ndani ya kenya mpaka the rest of EAC
Hahahaha, Leo kwasababu Bongo fleva imetawala Kenya, wanasema Tanzania ni nchi ya kigeni, ila bidhaa zao zikizuiliwa kuja Tanzania wanazungumzia spirit ya EAC, kwani mziki wa Tanzania sio bidhaa kama bidhaa zingine za EAC, vipi waanze kuzibagua na kusema unatoka nchi za nje kwahiyo usipigwe Kenya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio sababu nikasema hawa jamaa ni wabafiki na wabinafsi sana, siku zote wabajifikiria wao tu, chochote wabachofanya wao ni correct, wengine wakifanya wanalalamika kama vifaranga vya kuku.ah ndugu yangu ww mtu kwaoo na mtu chakeee bana
Baadhi yao tu lkn sio wote broNdio sababu nikasema hawa jamaa ni wabafiki na wabinafsi sana, siku zote wabajifikiria wao tu, chochote wabachofanya wao ni correct, wengine wakifanya wanalalamika kama vifaranga vya kuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wao wako hivyo, hadi viongozi wao, jaribu kufuatilia TV stations zao hasa katika mijadala mbalimbali, wapo hivyo. Tatizo kubwa wanataka kupata wao tuBaadhi yao tu lkn sio wote bro