Dogo hata mimi nimezimia; si kwamba nilitegemea Mbowe kuwa mkombozi sahihi bali kwa jinsi hoja yako ilivyosimama kuhusu ukweli kwamba Tajiri hakuwahi na wala hatowahi kumkomboa mnyonge wakati wowote katika maisha haya. Sisiemu hatuitaki lakina mkombozi hajatokea bado na kwa maana hiyo wataendelea kudunda kwa sana miaka na miaka
Another dolt looking for political relevance.
Another dolt looking for political relevance.
MESEJI YA MBOWE HII HAPA.
------------------------------------------------------
bwana kabunju, salaam. Rejea Mazungumzo yangu kuhusu Mhe.Joyce Mukya ambaye yuko safarini. Nitashukuru akibadilishiwa booking yake aweze kuondoka New York Tarehe 1 Dec siku ya Jumaapili kurejea Dubai na Kuunganisha Dar Tar3Dec. Mbowe,KUB.Cc Mhe.Joyce Mukya
--------------------------------------------------------
DAH. HII NI FEDHEHA YA AINA YAKE, na haya ndio yanayoitwa matumizi mabaya ya Madaraka, sijui kwanini Tunaoa ikiwa hatuwaheshimu na kuwajali wake zetu mbele ya jamii. pole sana mhasherati mbowe. tutaendelea kuambizana ukweli tu.
Habibu mchange
0762178678
safi sana kiongozi...huyu mbowe ni political opportunist aliyetaka siasa kama extension ya biashara zake na kua karibu na wakubwa wanaotawala na mfumo mzima wa utawala..hamna kingine zaidi ya hilo
mbowe ni janga la taifa hili, ni mzinzi na ni mharibifu mkubwa
Dah.... uongo ukivuma sana huaminiwa.
Tumekuskia kwa hii thread utapata gawio kubwa leo kupita wote pale lumumba.
Kwahiyo umeweka namba ili tukupigie uje tukuuwe au ni ujinga unakusumbua msakatonge.
Mbowe hana Dira -Mzee Mwanakijiji
labda kwa wewe mwenye akili ya gongo kwani ni vigumu kumfahamisha mlevi
Dah.... uongo ukivuma sana huaminiwa.
Tumekuskia kwa hii thread utapata gawio kubwa leo kupita wote pale lumumba.
Kwahiyo umeweka namba ili tukupigie uje tukuuwe au ni ujinga unakusumbua msakatonge.