kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Uhuru ni zungu!Hamaindi vitu vidogo vidogo!Kifua ya mwanaume!Respect Uhuru Kenyatta!Mwaka jana kuna mbunge alimtukana Sana Uhuru, nakumbuka nilikuwa Nairobi wakati ule.
Uhuru akamjibu na kusema na hapa namnukuu, "Mimi ni baba wa familia yenye watoto mamilioni, watoto wote hao hawawezi kufanana tabia, kuna wengine ni vichaa, kwa hiyo ni kawaida tu " mwisho wa kunukuu.
Hebu mtukane Magufuli ukione cha moto.
ndo maana nasema, Uhuru ni rais smart kuwahi kutokea Africa.