Unafiki wa CCM, Magufuli Unatisha!

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,807
Magufuli na CCM Mwaka 2015 Walikwapua Urais Kwa kunyang'anya Computer za Ukawa zaidi ya 60 zilizokuwa zikitumika Kufanya Parallel Tabulation Mfumo ambao ndio mwaka 1994 Ulitumiwa na Waangalizi wa Kimataifa SA kuhakikisha Hakuna wizi au Kufinya Kura. Mfumo wa uhesabuji kura ulio bora kuliko yote Duniani. Mfumo uliomwezesha Nelson Mandela Kushinda Urais SA.

CCM kwa Kutumia Vyombo vya Dola walipora Computer sio tu za UKAWA bali hata na za Taasisi nyingine za Kiraia waliokuwa wakiangalia Uchaguzi Mkuu.

Swali Langu Ni kuwa Kama Kitendo cha UKAWA kufanya Parallel Tabulation Kilikuwa ni Dhambi? Kwanini CCM hawa hawa na Magufuli Huyu huyu anawasaidia ODM na Raila Odinga Kusetup Kituo cha Computer cha Kufanya Parallel Tabulation Uchaguzi wa Kenya wa mwaka huu 2017. Kwanza ni Tabia chafu ya Kujihusisha na Mambo ya Ndani ya Nchi nyingine.

Binafsi sina shida na Raila Lakini kwa Kuwa Raila ni Rafiki wa Magufuli nataka Raila Odinga na Kalonzo Musyoka washidwe Vibaya. Ni Bahati mbaya sana Kwani Nampenda Uhuru Kenyatta lakini Makamu wake Willium Ruto Roho yangu haimtaki wala kumwamini. Raila akishinda Miaka 4 baadaye Ruto anataka agombee Urais Lakini Kwa mambo yalivyo na Watu wavyomhofu ni bora awachane na mawazo hayo! Sidhani itakuwa salama kwake. Some in Jubelee may find him too much of a threat! Hayo ni maoni yangu. Nevertheless I was not born yesterday!

 

Attachments

  • tmp_2302-raila-accused-setting-vote-tallying-centre-dar-1410081791.pdf
    52.3 KB · Views: 107
Ingawa Nimehoji Unafiki huu, Bado sikubaliani na Madai ya Dualle Kuwa Parallel Tabulation Center lengo lake ni Kuhack matokeo ya Uchaguzi. Bali ni njia nzuri ya Kuzuia Msiibiwe Kura! Mimi hoja yangu ni kulalamikia huo unafiki wa Kupora za UKAWA lakini USIMIKA za Raila Tanzania!
 
Mtoto wa Raila alikuwa na January hata kwenye tabulation ya matokeo ya CCM sasa anadhani wataweza kufanya tena walichofanya.. UHURU ana akili nyingi, mnooo.. Yaani Raila asahau kuwa Rais wa Kenya.. Atabakia kulialia kila siku. Na mwaka huu atapigwa katafunua, ya karne
 
Mimi nilikuwa namheshimu sana raila odinga lakini alipoanza urafiki wa karibu na Magufuli hapo ndipo nilipoanza kumdharau sana
Asante sana, Na Kusema Ukweli Uhuru Kenyatta ni Rais Poa sana, anajiamini, watu wanajibizana naye anadebate nao kwa hoja kama Obama haweweseki Kama Magufuli Kukamata Watoto wadogo nao Kuwatia ndani ati wamemtukana Mitandaoni. Magufuli kuna maeneo Machache sana yuko Poa, Ila kwa 90% ni Msanii, Sadist na Coward. Hafai kabisa kuwa Rais au Baba wa Nchi hasa nchi yenye kuhitaji assurance, comfort na positive direction. I personally don't hate him but I wish the day he took presidency was never in the calendar!
 
Wakenya siku mtakapoacha ukabila mungu atawashushia rais bora kama magufuli
 
Mlikua mnahack mtandao wa tume ya uchaguzi.Mzee Lubuva alisema mtandao wao ulikua unashambuliwa na wadukuahi hackers kila mara.
 
Mleta mada Habari za hivi karibuni na ambazo zipo hapa JF zinasema ni Kambi ya Raila Odinga inayolalamika kuwa Kambi ya Uhuru Kenyatta ndio wanaweka kituo hicho Tanzanzania. Unatuchanganya unaporipoti kinyume tena tupe usahihi wa taarifa yako!!!
 
Mtoto wa Raila alikuwa na January hata kwenye tabulation ya matokeo ya CCM sasa anadhani wataweza kufanya tena walichofanya.. UHURU ana akili nyingi, mnooo.. Yaani Raila asahau kuwa Rais wa Kenya.. Atabakia kulialia kila siku. Na mwaka huu atapigwa katafunua, ya karne
Zamani nilitaka Sana Raila awe rais Wa Kenya.
Lakini nilipobaini ana urafiki mkubwa na mtu katili kabisa Tanzania, nikaanza kumchukia, Raila hatashinda urais hata iweje, Uhuru ni moja ya marais smart Sana kuwahi kutokea Africa.
Kama Raila anajidanganya kusaidiwa na rafiki yake huyo katili basi akae akijua kuwa, Uhuru keshajua mbinu zao zote, na Uhuru keshajiandaa kumsaidia Mamvi Kwa kumpatia technic zote za ushindi.
 
Asante sana, Na Kusema Ukweli Uhuru Kenyatta ni Rais Poa sana, anajiamini, watu wanajibizana naye anadebate nao kwa hoja kama Obama haweweseki Kama Magufuli Kukamata Watoto wadogo nao Kuwatia ndani ati wamemtukana Mitandaoni. Magufuli kuna maeneo Machache sana yuko Poa, Ila kwa 90% ni Msanii, Sadist na Coward. Hafai kabisa kuwa Rais au Baba wa Nchi hasa nchi yenye kuhitaji assurance, comfort na positive direction. I personally don't hate him but I wish the day he took presidency was never in the calendar!
Marandu maeneo ambayo yuko poa ni kama yapi? I do not see any! I reserve my reasons!
 
Asante sana, Na Kusema Ukweli Uhuru Kenyatta ni Rais Poa sana, anajiamini, watu wanajibizana naye anadebate nao kwa hoja kama Obama haweweseki Kama Magufuli Kukamata Watoto wadogo nao Kuwatia ndani ati wamemtukana Mitandaoni. Magufuli kuna maeneo Machache sana yuko Poa, Ila kwa 90% ni Msanii, Sadist na Coward. Hafai kabisa kuwa Rais au Baba wa Nchi hasa nchi yenye kuhitaji assurance, comfort na positive direction. I personally don't hate him but I wish the day he took presidency was never in the calendar!
Mwaka jana kuna mbunge alimtukana Sana Uhuru, nakumbuka nilikuwa Nairobi wakati ule.
Uhuru akamjibu na kusema na hapa namnukuu, "Mimi ni baba wa familia yenye watoto mamilioni, watoto wote hao hawawezi kufanana tabia, kuna wengine ni vichaa, kwa hiyo ni kawaida tu " mwisho wa kunukuu.
Hebu mtukane Magufuli ukione cha moto.
ndo maana nasema, Uhuru ni rais smart kuwahi kutokea Africa.
 
Mlikua mnahack mtandao wa tume ya uchaguzi.Mzee Lubuva alisema mtandao wao ulikua unashambuliwa na wadukuahi hackers kila mara.
Kuna ushabiki mwingine ni laana kabisa, eti tuli hack, huwa hamkosi Sababu nyie.
Kwani hata Kama computer zenu zikiwa hacked na msijue na zikaonyesha kuwa mmeshindwa, mtakubali kuachia madaraka nyie Kwa hiari?
Police ndo tume yenu.
 
Asante sana, Na Kusema Ukweli Uhuru Kenyatta ni Rais Poa sana, anajiamini, watu wanajibizana naye anadebate nao kwa hoja kama Obama haweweseki Kama Magufuli Kukamata Watoto wadogo nao Kuwatia ndani ati wamemtukana Mitandaoni. Magufuli kuna maeneo Machache sana yuko Poa, Ila kwa 90% ni Msanii, Sadist na Coward. Hafai kabisa kuwa Rais au Baba wa Nchi hasa nchi yenye kuhitaji assurance, comfort na positive direction. I personally don't hate him but I wish the day he took presidency was never in the calendar!
Umeongea kisomi zaidi. Mimi ni mfuasi wa raila lakini nikisimama kwenye kilele ya mlima kilimanjaro alafu nikatazama uongozi wa upande ule na upande huu , nampa sana credit jirani mkuu "UK" . huu upande naona tembo kavamia msitu bila kutarajia yaani anavuruga mpaka vipepeo vinajiuliza nn kinaendelea.
 
Back
Top Bottom