Ndugu TX,
Kufuta ulichobandika hapa, ambacho ndicho kinachofanyiwa rejea na wachangiaji siyo ustaarabu maana wachangiaji wanaonekana wazushi!
Rudisha, au omba Mods wafunge mjadala huu.
Mtoa Hoja hapo juu "yako" kaiweka hio article.....au kuna mengine....? Next time mtoa Mada bado akiweka bandiko unachotakiwa ni kumquote..hata kama akifuta qoutation yako itabakia reference...!!!