nafikiria aungane na waslam kutupatia mahakama hiyoHuo unafiki uko wapi? Mimi naona anatoa tu ushauri. Au nini haswa unafiki wake?
nafikiria aungane na waslam kutupatia mahakama hiyo
Balozi wa Kenya anatoa ushauri kuzingatia uzoefu wao katika swala nyeti hili.Huo unafiki sijui ni upi.
Ni vema kutafuta kichwa cha habari kwa umakini zaidi pale mtu unapotaka kuanzisha mada.Vinginevyo utataka wasomaji/wachangiaji waanze kukujadili wewe mtoa mada badala ya mada.
Na Jackson Odoyo
Kwani balozi kasema nini?
watu kama hawa ni wa kusamehewa...kafunza kanamnyefuanyefua ktk bongo lakemabalozi wana akili, hawawezi kufanya hivyo, zaidi watasapoti. labda kama balozi huyo atakuwa mjahidina anayevaa visuruari vifupi...hahaha. sehemu ya chini ya suruari amekata kama vile amekata na akili zikamtoka...
Hivi akitokea Balozi wa Msumbiji ama Rwanda, akatoa ushauri wa ubaya wa Waraka wa Kanisa Katoliki kutakalika. Hayo hayatokuwa mawazo yake bali itaonekana ni kuingilia masuala ya nchi. Lakini huyu kwa kuwa yuko upande wa Wakristo, ahh anaonekana kasema.
ni vema sana kutenganisha sayansi na imani katika maauzi, historia inaonesha maamuzi mengi zamani yalitokana na imani za dini na yalishindwa. kama mtu ahamini asome zile philosoph za greace thinker Plato
Ndugu TX,Na Jackson Odoyo