UNAFIKI unatawala Bavicha...

Status
Not open for further replies.

mdogo wangu, hata ukiniweka kundi la yericko nyerere kama niko hivyo ni sawa, na kama siko hivyo pia ni sawa maana facts will there to judge. Hata yericko anaispire a lot of people in Kigamboni, that is no excuse

Kusema ukweli kabisa, siombi radhi, wala usihangaike, because you cant judge yourself, mimi ndivyo nikuonavyo... na hii imetokana na wee kujitoa fahamu na kushuka hadi kufikia level ya akina malaria sugu, nk.... TO BE HONEST, YOU ARE THI BIGGEST DISAPPOINTMENT KWANGU... TUNAFAHAMIANA!! SIKUTAKA KUWEKA HILI BUT KILA SIKU UNAZIDI KU-DETERIORATE, AND I AM SADDENED

kuhusu kulipwa buku saba, la hasha, you are paid in kind....

My brother, take a deep look into the mirror and ask yourself, is this you? the same you?? kama wa 10-15 years ago?? what has happened??

Haya bwana, take it to the chin with a pint of salt

I am hurting seeing you puking all those stuffs na hali inazidi kuwa mbaya kila uchao
 

Yericko anainspire wakazi wa Kigamboni!


Hahahahaha mkuu kumbe uko kwenye utani.

Haya bwana, I give you credit of a doubt but you need to observe one thing that every charm has its pot. I believe you know what I mean...
 
Nyie vijana wa bavicha mnaopenda kuwafanya moderators ni vijakazi wenu. Ni nani asiekufahamu wewe kuwa unatumika? UNADHANI HAWA MODS NI WAJINGA KAMA ULIVYO?


Adhabu ya kusimamisha kugombea mwaka mmoja ndio ina impact gani kama sio danganya toto?

ulitaka apewe adhabu ya kumtafuna **** yako?
 

hata fifa wanaweza kukufungia mwezi mmoja wakati wakijua ligi imesimama...
 
Yericko anainspire wakazi wa Kigamboni!


Hahahahaha mkuu kumbe uko kwenye utani.

Haya bwana, I give you credit of a doubt but you need to observe one thing that every charm has its pot. I believe you know what I mean...

its pot huh!!!???

haya kaka.... kuchamba kwingi??
 
Wewe ndio wale wale ambao elimu haikuwaelimisha kabisa. Upo hapa 24/7 kuandika pumba na kupandikiza mbegu za chuki za udini na ukabila na wakati huo huo ukitetea hii Serikali dhalimu ya manyang'au.


Kaka,

Hivi Ludovick ndio mmeshamchinjia baharini?
 

mie sasa ntakua nakutazama tu, maana naona vanga umelinunulia ndula:shocked:
 
Vijana wa buku 7 mnaweweseka mno..eti na hii ni thread. ...dah marcopolo sijui unajiita hivo, wewe ni kilaza...ningekutukana sema sitaki kula banned.
 
Yericko anainspire wakazi wa Kigamboni!


Hahahahaha mkuu kumbe uko kwenye utani.

Haya bwana, I give you credit of a doubt but you need to observe one thing that every charm has its pot. I believe you know what I mean...

Huna lolote.
We ni Boya tu...unajipendekeza kwa wanaume wenzako ili upate u DC.
Angalia usijeishiwa kuchezewa tu...
 
nakuunga mkono kabisa matapeli Kama ccm kupita kinana nchi itaangamia
 

For sure mkuu hili ulizungumzalo. Lakini bila aibu hawa wanasiasa wajinga kiasi hiki still wanatumia majukwaa na kuzungumza na watanzania kuhusu shida zao na watanzania wanafikiri wamepata kumbe ndio inakula kwao. Hata hapa jf' wanasiasa wa majungu na fitna ndio wenye kukubalika kuliko wale wenye vision na mission kwa nchi yao. Very sad!.
 

Mkuu huyo Hamza asikuumize kichwa,


Ninamfahamu in & out, amefukuzwa kazi yake pale Mvomero Morogoro,

Sio "Dr" kama anavyowadanganya watu hapa, yeye taaluma yake ni Ukunga/ungariba, kwasasa anaishi Dar baada ya kufukuzwa Moro, vijiwe vyake anakopatia mkate ni Lumumba


Mpuuzeni tu, hana chakusema hapa jf zaidi ya kuwataja Chadema,Dr Slaa, Yericko, Ben, na wengine,

Hakuna siku iliyowahi kupita bila kuwataja hao watu hapo juu.
 

George Bush alisema "you're either with us or you are against us". Hapo umekose kumnukuu.

Punguza povu.

"Mida Eight anatumiwa na Dr. Slaa kugombanisha viongozi" - waraka
 
Ben huna jipya wala si uzushi ndio ukweli wenyewe huna lolote
 
Last edited by a moderator:

Peleka ungese wako huko mwanaume mzima unatumika kubebeshwa sumu.------- kbx hakuna kitu utatuambia kahaba mkubwa ww
 
Last edited by a moderator:

wewe tu ndio unamheshimu huyo mzee Slaa sisi wengine tunamuona ni mzinifu na mnyang'anyi wa wake za watu, kwa hiyo hana mamlaka ya kutufingia mjadala.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…