Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Umenena mkuuMachoni kama watu moyoni Mbwa mwitu araruaye!
Umenena mkuuMachoni kama watu moyoni Mbwa mwitu araruaye!
Manyumbu yamekamatwa vibaya sasa yanabwabwaja hovyo mkuu achana nayoWewe ndio mnafiki namba moja
Na bado mpaka mtakaa.Umenena mkuu
Na bado mpaka mtakaa tu.Machoni kama watu moyoni Mbwa mwitu araruaye!
Walio kamatika ni hao hapo Lumumba ndio maana wanakuja mwaga udenda hukuManyumbu yamekamatwa vibaya sasa yanabwabwaja hovyo mkuu achana nayo
Kwa historia ya siasa za Zanzibar hakuna jinsi naungana na TataMadiba, Maalim lazima akaliwe kooni tu.Ndio maana unaleta ukurunzinza
Wewe tayari umeshakalidhwa hapo ulipo tuliaNa bado mpaka mtakaa tu.
Sasa mnatangazaga vyama vingi vya nini? Si mbaki ccm wenyeweKwa historia ya siasa za Zanzibarm hakuna jinsi, Maalim lazima akaliwe kooni tu.
Machi 20 ndo tutajua aliyekamatika ni Nyumbu au CCM.Walio kamatika ni hao hapo Lumumba ndio maana wanakuja mwaga udenda huku
Someni alama za nyakati , mjiongeze wenyewe, CCM chama kubwa,Sasa mnatangazaga vyama vingi vya nini? Si mbaki ccm wenyewe
Wakubwa wawili wanafundisha kizazi kipya kwa vitendo elimu urai mwema. Pongezi kwa Jecha na Shein.Yaani huwa nawaangalia shein na jecha siwamalizi. Hawana aibu kabisa kwa kitendo chao, na hawajali kabisa kitendo chao kama kinaweza kuleta machafuko na mauaji zanzibar
Hahaha sasa mnashindana na nani wewe fisiMachi 20 ndo tutajua aliyekamatika ni Nyumbu au CCM.
Chama cha MachafukoSomeni alama za nyakati , mjiongeze wenyewe, CCM chama kubwa,
Tunashindana na aliyeweka mpira kwapaniHahaha sasa mnashindana na nani wewe fisi
Mpeni aliyeshinda 25 siyo kuleta ukurunzinzaTunashindana na aliyeweka mpira kwapani
Machafuko yako Burundi, Somalia, Congo. Tanzania ni kisima cha amani.Chama cha Machafuko
Anapewa kama pipi? Nani alimtuma kuingiza kura hewa Pemba?Mpeni aliyeshinda 25 siyo kuleta ukurunzinza
Hizo kura hewa zikowapi? Mkuki kwa nguruwe ni sawa kwa binadamu?Anapewa kama pipi? Nani alimtuma kuingiza kura hewa Pemba?