Unafiki unaliangamiza Taifa

Unafiki unaliangamiza Taifa

Jamaa akiambiwa nyumbu ndio anapiga beni.
 
Kuna mtu mmoja nilimpenda sana kwa kutoonyesha unafiki, huyu alikuwa na rafiki yake kipenzi ambaye wamesaidiana sana tangu enzi hizo. Lakini kama alivyotuasa mzee Mengi kuwa 'una maisha baada ya uchaguzi' mwenzake wakati wa kampeini hakuishia kumponda tu kisiasa bali mpaka mambo ya ndani na afya binafsi.
Juzi juzi nikasikia umetokea msiba na watu wengi walienda lakini huyu hakupenda kuonyesha unafiki kwa kujifanya anaenda wakati moyoni 'amekwazika'. Sikumbuki kumuona akihudhuria.
Unamsema Shemeji yake na Maalim Seif?
 
Well,ni jambo jema mwenzako akiwa mgonjwa utamjulia hali na kumfariji. Huo ni ubinadamu

Lakini Ubinadamu huo kama ni wa dhati basi unapaswa uuonyeshe kila mara hata kama maslahi yako yapo hatarini

Yaani waliosimamia mradi wa kushambulia Demokrasia kule Zanzibar wanamtembelea Maalim Seif kumpa pole kwa kuugua

Lakini watu hao hao ambao hata jumuiya ya kimataifa imetoa msimamo na kuwaamuru wampe ushindi wake mgombea halali aliyeshindwa wamegoma na kuhatarisha Amani ya Raia zaidi ya Milioni kule Zanzibar kwa kudhulumu haki ya kidemokrasia

Maalim Seif amesema aliugua ghafla kutokana na fatigue(Uchovu) ambayo imesababishwa na safari nyingi bila kupumzika

Mambo anayokimbizana nayo hadi kupata masaibu haya inawezekana kabisa yametokana na Ubakaji wa Demokrasia uliofanyika Visiwani

Leo baadhi ya watu wanaleta unafiki kuwa wameenda kumjulia hali.

Kuna msemo "Wachawi ndio vinara wa kulia misibani"

Aluta Continua,Victory Ascerta.......

Ben Saanane
wewe ndio mnafiki kuliko wanafiki unaowaongelea maana unaficha kilicho moyoni kwako. Just because you have some difference politically does not mean that you keep your distance even when your competitor has some misfortune in life. I am very sure if none of those leaders visited Maalim, your propaganda mills would have gone wild with all sorts of accusations. Since these guys are wise enough to tell the difference, could you please just shut up.
 
wewe ndio mnafiki kuliko wanafiki unaowaongelea maana unaficha kilicho moyoni kwako. Just because you have some difference politically does not mean that you keep your distance even when your competitor has some misfortune in life. I am very sure if none of those leaders visited Maalim, your propaganda mills would have gone wild with all sorts of accusations. Since these guys are wise enough to tell the difference, could you please just shut up.
Ongea tu kiswahili maana unazidi kujiaibisha
 
Kutofautiana kiitikadi sio kigezo cha upendo kupotea kabisa. Unajenga dhana kwamba tofauti ya kisiasa na yote yanayoendelea kwenye mambo ya kisiasa hutoa picha halisi ya tabia za mtu. Unajenga dhana potofu kwamba mtu akishakuwa ni mfuasi wa itikadi fulani badi tayari ni msafi kupita maelezo, kitu ambacho hakina ukweli wowote ule. Kumbuka kuwa gharama zote za ukaaji wa Maalim Seif hapo hotelini zinalipiwa na serikali.

Siasa za vyama vingi sio tiketi ya uhasama, sio tiketi ya kuwagawa watu kwenye mambo yale ya "wao" na
"sisi". Sio unafiki kwa viongozi wa serikali kwenda kumtazama kiongozi mwenzao akiwa amelazwa. Mleta mada unaipotosha maana pana ya siasa za ushindani.
 
Kuna mtu mmoja nilimpenda sana kwa kutoonyesha unafiki, huyu alikuwa na rafiki yake kipenzi ambaye wamesaidiana sana tangu enzi hizo. Lakini kama alivyotuasa mzee Mengi kuwa 'una maisha baada ya uchaguzi' mwenzake wakati wa kampeini hakuishia kumponda tu kisiasa bali mpaka mambo ya ndani na afya binafsi.
Juzi juzi nikasikia umetokea msiba na watu wengi walienda lakini huyu hakupenda kuonyesha unafiki kwa kujifanya anaenda wakati moyoni 'amekwazika'. Sikumbuki kumuona akihudhuria.


Nilipenda sana.Maana huyo Mwenzake alidhani mamlaka aliyokuwa nayo vitu kama vifo havitamfuata. Kwa umri ule nilimshangaa alivyomsakama rafiki yake kipenzi hadi kwenye masuala binafsi ya kiafya
 
Wewe umeandika au umetoa Kinyesi?
You see, true to kind. Kupayuka na kutukana pasipo sababu. Kama wewe ndio aina ya watu wanaotegemewa na chama chako, basi mtaendelea kulalamika tu bila kujua tatizo linaanzia kwenu kwa kuwa mna akili isiyo na akili.
 
You see, true to kind. Kupayuka na kutukana pasipo sababu. Kama wewe ndio aina ya watu wanaotegemewa na chama chako, basi mtaendelea kulalamika tu bila kujua tatizo linaanzia kwenu kwa kuwa mna akili isiyo na akili.
Maana nyie mnatupamba? Shirikisha ubongo
 
Unafiki wa Sefu unakaribia ukingoni yaani atakavyowageuka mtashangaa
 
Back
Top Bottom