Unafiki unaliangamiza Taifa

Unafiki unaliangamiza Taifa

Nlisema baada ya matukio ya Magu na Shein kumtembelea Seif, UKAWA watatamani wahame nchi..
 
Wewe kwani unajua kitu zaidi ya mozoga? Fisi tu
Najua zaidi yako na ndio maana siku zote wewe na kundi la manyumbu mko nyuma yetu mkilalama tu. Mnashituka mmeshapigwa bila kujua kilichowapiga ni kitu gani. Ukweli mchungu ila endeleeni kuwa manyumbu hivyo hivyo maana ni furaha yetu.
 
Najua zaidi yako na ndio maana siku zote wewe na kundi la manyumbu mko nyuma yetu mkilalama tu. Mnashituka mmeshapigwa bila kujua kilichowapiga ni kitu gani. Ukweli mchungu ila endeleeni kuwa manyumbu hivyo hivyo maana ni furaha yetu.
Mlichokofanya 25 dunia inakijuamlichokifanya Zanzibar duniainakijua mnayoyafanya kwenye Umeya Dar Dunia inajua... Mwisho wa Ukurunzinza ni mbaya sana
 
Endelea kuongozwa na rimoti ya umoja wa mataifa. Kuna wakati inabidi ujiendeshe mwenyewe,Tanzania sio tv ya umoja wa mataifa kiasi kwamba wao wakisema muda huu tunaweka TBC1,ITV,CLOUDS,N.K. Hatutafika ni lazima tuwe huru kisiasa palipo na mashaka lazima parekebishwe.
Na JPM alivyo jipanga,baada ya miaka michache tutaanza kuwakopesha na sisi hela
 
Baada ya JPM kumjulia hali Maalim ndiyo msururu wa viongozi kumtembelea. Jana zamu ya mgombea binafsi uchagazi wa marudio Zanzibar Hamad Rashid.
 
Hivi watu wengine mna akili na ufahamu kweli? hapa issue ni kura za wengi ziheshimiwe na si vinginevyo! sasa povu la nini? alioyeshinda atangazwe! Ila ccm kwa uaminifu wake kwa SHATENI ndio wanataka kuleta fujo Nchi hii kwani HAKI haiombwi bali HUDAIWA!
 
Well,ni jambo jema mwenzako akiwa mgonjwa utamjulia hali na kumfariji. Huo ni ubinadamu

Lakini Ubinadamu huo kama ni wa dhati basi unapaswa uuonyeshe kila mara hata kama maslahi yako yapo hatarini

Yaani waliosimamia mradi wa kushambulia Demokrasia kule Zanzibar wanamtembelea Maalim Seif kumpa pole kwa kuugua

Lakini watu hao hao ambao hata jumuiya ya kimataifa imetoa msimamo na kuwaamuru wampe ushindi wake mgombea halali aliyeshindwa wamegoma na kuhatarisha Amani ya Raia zaidi ya Milioni kule Zanzibar kwa kudhulumu haki ya kidemokrasia

Maalim Seif amesema aliugua ghafla kutokana na fatigue(Uchovu) ambayo imesababishwa na safari nyingi bila kupumzika

Mambo anayokimbizana nayo hadi kupata masaibu haya inawezekana kabisa yametokana na Ubakaji wa Demokrasia uliofanyika Visiwani

Leo baadhi ya watu wanaleta unafiki kuwa wameenda kumjulia hali.

Kuna msemo "Wachawi ndio vinara wa kulia misibani"

Aluta Continua,Victory Ascerta.......

Ben Saanane
kwani zanzibar ni ya kwake peke yake huyo maalim sefu?zaid ya kuiingiza serikali sioni la baana,tangu lini mtu atoke hospitali mapumziko akafanyie hoteli ya nyota tano wakati ana kwake?
 
Unafaki ni moja ya vitu vinavyoangamiza maendeleo katika nchi zetu kwani hii ni aina ya rushwa ambayo watu wengi hawadhanii kama ina madhara kwa taifa. Hakika taifa lililojengwa na msingi wa unafiki na kujipendezekeza basi taifa hilo lisahau maendeleo ya kweli.
 
Back
Top Bottom