Polee katika mahusiano yenu hukuwahi kumcheat? Au hata kuna na vudalili vya kucheat amabavo pengine aliweka kinyongo.Habari wana jf! Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha?? Mume wangu alinicheat nikamsamehe amecheat tena nasasa moyo wangu umechukia kiasi cha kutokuwa na hisia nae tenaa!!
Loh, Pole sanaKwasasa sina hamu wala hisia kwa mwenza wangu tatizo ni ananivuruga na kunichanganya sana. Ananicheat mpaka najua sasa moyo umepondeka sana
Once a cheater,always a cheater.Mna mahusiano ya muda gani?mna watoto?je bado unampenda?kuwa makini asije kukuletea maradhi tu!Acha ujuaji wewe, ukifumaniwa wewe uliefumaniwa ndio hisia zinaisha kwa mwenzio eboo! My man cheated on me hii mara ya pili nimekuta evidensi kabisa.
Pole sana dada ake angalia sana usije ukaipoteza ndoa yako kwa mikono yako mwenyewe :mwanaume kama mtoto anaitaji abembelezwe ,asikilizwe na pia wewe jaribu kuwa mbunifu kwa mwenza wako bila kujari kitugani kitatokea mbadilishie mmeo ratiba ya kuhondomola akitoka kazini mpe ,anaenda kazini mpe akipumzika chumbani akisema najisikia vibaya mpe tu usipende kushika simu yake mbembeleze tu zaidi ya mwanako atajiuliza ma MBILI mwisho wa siku atakua wako peke yako mfano mkubwa dada zetu wa kiiislamu wanatambua sana majukumu yao ya ndoa KULIKO dada zetu wakristo sipo kwenye udini najalibu kuweka usawa fanya hayo utanikumbukaKwasasa sina hamu wala hisia kwa mwenza wangu tatizo ni ananivuruga na kunichanganya sana. Ananicheat mpaka najua sasa moyo umepondeka sana
Your thread is too short to the extent that I don't know how can I help you.
Are you male or female?
We jamaa agiza koka alokataa c7 nakuja kulipa aseeNafikiri jipe muda tu uone hali itakuwaje. Itategemeana na jinsi huyo mwenzako anavyo- au atakavyo-jibehave. Kama ataonyesha kujutia kitendo hicho cha kukucheat basi msamehe tu. Ieleweke wanaume sisi hata pale tunapocheat si kwamba hatuwapendi wake zetu. Huwa mara nyingi ni utoto tukikua huwa tunaacha!
Awe makini tu vijana wa uzi pendwa na trick zako watapita na hukuJuzi niliandika uzi ...."Usiombe mwanamke akuchukulie Poa ""..mods waliufuta kisa lugha nlotumia.
WAKATI ALONAO MTOA MADA, AKIKUTANA NA KIJANA MJANJA MJANJA, WATAKULANA KIMASIHARA.
na Mbaya zaidi, hatojali kama kuna kondom wala nn
Matokeo yake analiwa, anapewa ngoma, anakuletea Ndani, unapiga ,nawee unaunganishwa kwa Gridi.
ACHENI KUCHEPUKA KWA UJINGA KIASI KWAMBA, MKEO AKUJUE KWAMBA UNACHEPUKA.
USIOMBE MWANAMKE AKUCHUKULIE POA.
USHAURI WANGU KWAKO WEWE BIDADA ......( Ushauri kama huna mpango wa kumsaliti)
embu wekeza kwa sasa kwako wewe, na kwa wanao
USIJARIBU Kujilazimisha kurudisha hisia zako kwake
KUA MAKINI KWA VIJANA WATAKAOKUPA USHAURI HUMU +HUKO NJE..
ushauri uishie kwenye ushauri,
MUOMBE MUNGU.
USHAURI KAMA NAWEWE UNA MPANGO WA KULIPA KISASI
Wewe ni mwanamke, bila shaka ni mrembo wa Sura na Umbo ,mwanamke ambaye kila ukipita basi Jicho la mwanaume akutazamaye atahitaji kua nawewe kwa sababu hawez kumudu kua mbali nawewe.
Unajua kwenye Jamii zetu hizi, suala la Mwanaume kua na wanawake wengi linaonekana ndo Udume na pongezi, lkn mwanamke anapoumizwa ndoani, nakuamua kutafuta mtu wakumpa Faraja, basi huyo mwanamke hulaumiwaa sana, nakuonekana Hafai.
Mimi Carlos The Jackal siwez kukujaji kwa sababu niwewe unayejua maumivu makali unayopitia na ukweli nikwamba, Una Haki kabisaa ya kutafuta mtu ambaye ataupa Moyo wako Furaha.
Mbona wake zenu wakiwacheat wakiomba msamaha na kusema ni utoto tuu au shetani aliwapitia kuwasamehe inakuwa ngumu..!?eti,Nafikiri jipe muda tu uone hali itakuwaje. Itategemeana na jinsi huyo mwenzako anavyo- au atakavyo-jibehave. Kama ataonyesha kujutia kitendo hicho cha kukucheat basi msamehe tu. Ieleweke wanaume sisi hata pale tunapocheat si kwamba hatuwapendi wake zetu. Huwa mara nyingi ni utoto tukikua huwa tunaacha!
Ndoa yenu ina umri gani?+ evidence gani ulizikuta...... "Kumbuka ukimchunguza sana bata hutoweza mla"Habari wana jf! Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha?? Mume wangu alinicheat nikamsamehe amecheat tena nasasa moyo wangu umechukia kiasi cha kutokuwa na hisia nae tenaa!!
Message au pichaAcha ujuaji wewe, ukifumaniwa wewe uliefumaniwa ndio hisia zinaisha kwa mwenzio eboo! My man cheated on me hii mara ya pili nimekuta evidensi kabisa.
MC wanaume tulivoumbwa ni tofauti na nyie wanawake, nature yetu mwanaume hawezi kuridhika na mwanamke mmoja..Mbona wake zenu wakiwacheat wakiomba msamaha na kusema ni utoto tuu au shetani aliwapitia kuwasamehe inakuwa ngumu..!?eti,
Just ignore him yaani usimuulize chochote we endelea na ratiba zakoKwasasa sina hamu wala hisia kwa mwenza wangu tatizo ni ananivuruga na kunichanganya sana. Ananicheat mpaka najua sasa moyo umepondeka sana
Habari wana jf! Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha?? Mume wangu alinicheat nikamsamehe amecheat tena nasasa moyo wangu umechukia kiasi cha kutokuwa na hisia nae tenaa!!