Habari zenu Wakuu,
Kwenye pitapita zangu Jf nikakutana na mdau akimshauri jamaa aliepigwa tukio na Mwanamke wake wa ndoa, na moja ya ushauri aliompa huyo alietendwa ni "PENDA KWA KIASI USIPENDE MAZIMA".
Comment ya mdau ilinifanya nifikirie kwa mapana na marefu na mwisho wa siku nikapata jawabu ya kwamba kupenda kwa kiasi kunafanana sawasawa na kupenda kwa akili.
Kama hamjanielewa ngoja nieleezee kidogo!
Kupenda kwa akili ni hali ya kuwa na uwezo wa kuchukua maamuzi magumu pale ambapo unaona kuna kosa/makosa yanafanyika eg. Umemfumania Mume/Mke, ushirikina, kutokuwa na adabu n.k
Kupenda kwa akili hakuhusiani na Hisia/Moyo bali ni Maamuzi, Makubaliano na Ukweli.
Watu wanaopenda kwa akili huwa hawasamehi Usaliti, lakini watu wanaopenda bila ya kutumia akili ndio husamehe na kuendelea na maisha kwa kusingizia watoto, wazazi n.k
NB. PENDA KWA AKILI, USIPENDE KWA HISIA.
Mjanja M1
Kwenye pitapita zangu Jf nikakutana na mdau akimshauri jamaa aliepigwa tukio na Mwanamke wake wa ndoa, na moja ya ushauri aliompa huyo alietendwa ni "PENDA KWA KIASI USIPENDE MAZIMA".
Comment ya mdau ilinifanya nifikirie kwa mapana na marefu na mwisho wa siku nikapata jawabu ya kwamba kupenda kwa kiasi kunafanana sawasawa na kupenda kwa akili.
Kama hamjanielewa ngoja nieleezee kidogo!
Kupenda kwa akili ni hali ya kuwa na uwezo wa kuchukua maamuzi magumu pale ambapo unaona kuna kosa/makosa yanafanyika eg. Umemfumania Mume/Mke, ushirikina, kutokuwa na adabu n.k
Kupenda kwa akili hakuhusiani na Hisia/Moyo bali ni Maamuzi, Makubaliano na Ukweli.
Watu wanaopenda kwa akili huwa hawasamehi Usaliti, lakini watu wanaopenda bila ya kutumia akili ndio husamehe na kuendelea na maisha kwa kusingizia watoto, wazazi n.k
NB. PENDA KWA AKILI, USIPENDE KWA HISIA.
Mjanja M1