Egyps-women
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 498
- 106
JF mnafanyaje pale unapohisi akili imechoka ,inahitaji mtu unayemwamini umwambie jambo linalokusibu..linalokuchosha
atakayekuwa tayari kukupa muda wa kukusikiliza ...kukuadvice and so and so...
Lakini kila ukijaribu kuwaza
Fulani akili inasema no..Fulani no...not trusted
and and ..unafanyaje?
...
atakayekuwa tayari kukupa muda wa kukusikiliza ...kukuadvice and so and so...
Lakini kila ukijaribu kuwaza
Fulani akili inasema no..Fulani no...not trusted
and and ..unafanyaje?
...