Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Namuombea awe na maisha marefu nakutoa sadaka
Master b!
Namuombea awe na maisha marefu nakutoa sadaka
Mi huwa napata kilaji kama nimem-miss sana, lakini kilaji kikikolea ndo nnam-miss zaidi.
Mi huwa napata kilaji kama nimem-miss sana, lakini kilaji kikikolea ndo nnam-miss zaidi.
Dah kwa hyo kwako umpendaye=pono........hii kaliNachek pono
faster naingia bafuni na kipande cha sabuni,mambo yanaishia huko!
:A S 13::A S 13: si ulisema una nanihii na housegal wewe? nafurahi kama umeacha na sasa uko na sabuni....l.o.l
Kum-miss maana yake nini? Tamaa ya kupigwa MTI au?