Unafanya nini mbwa wako kuwa mkali

7bd332a2528f02834bc9736c08aa2b8a.jpg
Hao ndo mbwa Mkuu hawa wengine mbwa wa kienyeji muda mwingine inabidi ujitengezee tukio uwamalize basis ujijue huna mlinzi
 
Mkuu ihii tabia wewe ndio umeilea mwenyewe mbwa siku zote anafundishwa na ataelewa tuuuuu..... Sasa fanya hivi wakinya usifagie yatawanye mavi ndani YA banda akose pa kulala mfanyie kwa muda wa Wiki moja atakereka akikosa pa kulala, elewa mbwa apendi kulala sehemu chafu.... Baada YA Wiki safisha banda kwa maji Alafu anzisha kichapo unapowafungua ukikuta wamekunya mnusishe pale alipokunya uku unamchapa na kumsemesha asinye Kwenye banda. Endelea kufanya hivi Kila wanyapo Kwenye banda hadi watakapo Acha.... Elewa mbwa ni mnyama anaefundishika kwa urahisi
Sawa sawa mkuu shukrani

Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
 
Usiwape bangi aiseee...mnaoshauri bangi hamjui kufuga mbwa..kidogo aliyesema kuwapikia Yale masega ya nyigu Yale sijui yana nini aiseee.pia inategemea na aina ya mbwa kama alivyosema mchangiaji hapo. Mbwa kama G.S ni mafunzo tuu ila hawa pitbull nashauri kama mtu hana uhakika sana na anachofanya asiwajaribu hawa .maana haya ni mabishi, yananguvu kuliko bahati mbaya hayana akili kwa maaana ya si wepesi kushika mafunzo muda wowote wanafanya mauaji heavy
 
Mimi Mbwa wangu ni wakali ila wanajisaidia bandani kwa kweli wananikera sana, maana kila saa nne usiku nawafungulia mpk saa 12 ahsubuhi lakini bado wanajisaidia bandani na ni wakubwa sijui wataalamu mnashauri vp hapo ?
Wawekee mchanga bandani wanakua wanajisaidia upande mmoja tu. Nina German Shepherd wawili nimefanya ivyo na inaenda vizuri. Mi huwa naenda tu kutoa baada ya siku kadhaa
 
Usiwape bangi aiseee...mnaoshauri bangi hamjui kufuga mbwa..kidogo aliyesema kuwapikia Yale masega ya nyigu Yale sijui yana nini aiseee.pia inategemea na aina ya mbwa kama alivyosema mchangiaji hapo. Mbwa kama G.S ni mafunzo tuu ila hawa pitbull nashauri kama mtu hana uhakika sana na anachofanya asiwajaribu hawa .maana haya ni mabishi, yananguvu kuliko bahati mbaya hayana akili kwa maaana ya si wepesi kushika mafunzo muda wowote wanafanya mauaji heavy
Pitbull na rotterweiler kama unajua unajisahau sahau bora ukae nao mbali... Ni wazuri ila wanahitaji umakini kuwalea...

Usije fuga rottaweiler au pitbull au G. S ukawa unawapa makapi ya chakula hahaha watakugeuza wewe uwe chakula chao!!
 
Hapo kwenye kuuliza "mbwa mmemfungia?" Umenikumbusha enzi za utoto ilikuwa kwenda kwa rafiki yangu home kwao, nikifika nje nilikuwa nauliza kwanza "vipi tiger amefungiwa?"
 
Mkuu ihii tabia wewe ndio umeilea mwenyewe mbwa siku zote anafundishwa na ataelewa tuuuuu..... Sasa fanya hivi wakinya usifagie yatawanye mavi ndani YA banda akose pa kulala mfanyie kwa muda wa Wiki moja atakereka akikosa pa kulala, elewa mbwa apendi kulala sehemu chafu.... Baada YA Wiki safisha banda kwa maji Alafu anzisha kichapo unapowafungua ukikuta wamekunya mnusishe pale alipokunya uku unamchapa na kumsemesha asinye Kwenye banda. Endelea kufanya hivi Kila wanyapo Kwenye banda hadi watakapo Acha.... Elewa mbwa ni mnyama anaefundishika kwa urahisi

Hahaha nimeipenda iyo, eti uyatawanye
 
Mkuu ihii tabia wewe ndio umeilea mwenyewe mbwa siku zote anafundishwa na ataelewa tuuuuu..... Sasa fanya hivi wakinya usifagie yatawanye mavi ndani YA banda akose pa kulala mfanyie kwa muda wa Wiki moja atakereka akikosa pa kulala, elewa mbwa apendi kulala sehemu chafu.... Baada YA Wiki safisha banda kwa maji Alafu anzisha kichapo unapowafungua ukikuta wamekunya mnusishe pale alipokunya uku unamchapa na kumsemesha asinye Kwenye banda. Endelea kufanya hivi Kila wanyapo Kwenye banda hadi watakapo Acha.... Elewa mbwa ni mnyama anaefundishika kwa urahisi

Mkuu samahani naomba nisaidie,mm natamani sana kufuga mbwa km mlinzi lkn tatizo naogopa sanaa mbwaaaa nn nifanye ili kukabiliana hii hali ili mwisho wa siku niweze kufugaa?
 
Mkuu samahani naomba nisaidie,mm natamani sana kufuga mbwa km mlinzi lkn tatizo naogopa sanaa mbwaaaa nn nifanye ili kukabiliana hii hali ili mwisho wa siku niweze kufugaa?
Anza kufuga akiwa mdogo akuzoee na wewe umzoee. Yan unakua unaona mabadiliko yake ndio njia rahisi kwako
 
Oohhh,sawa so huyu mdogo awe mmoja au wawili??ila itabd niwe na mtu ht wa kunielekeza namna ya kumlisha, mazingira yake nk
Wakiwa wawili itapendeza zaidi. Unawalisha kawaida tu ila hakikisha usiwape nyama mbishi na usiwabadilishie chombo cha kulia cha msingi tu viwe visafi. Mi nina order na butcher baadhi wananileteaga nyama kwenye kindoo naziweka kwenye mfuko then naweka kwenye fridge nakua nachomoa mfuko mmoja naichemsha nawapikia na ugali wanakula wanapotoka bandani usiku saa 2-4. Na ni mara moja tu kwa siku.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Wakiwa wawili itapendeza zaidi. Unawalisha kawaida tu ila hakikisha usiwape nyama mbishi na usiwabadilishie chombo cha kulia cha msingi tu viwe visafi. Mi nina order na butcher baadhi wananileteaga nyama kwenye kindoo naziweka kwenye mfuko then naweka kwenye fridge nakua nachomoa mfuko mmoja naichemsha nawapikia na ugali wanakula wanapotoka bandani usiku saa 2-4. Na ni mara moja tu kwa siku.

Shukranii sana mkuuu,nikirudi nitawaambia madogo waanze kuandaa banda tayari kwa mlinzi mpya
Ahsante
 
Wawekee mchanga bandani wanakua wanajisaidia upande mmoja tu. Nina German Shepherd wawili nimefanya ivyo na inaenda vizuri. Mi huwa naenda tu kutoa baada ya siku kadhaa
Mkuu awa mbwa umewalea kijinga Sana...... Mm mbwa awanyi Kwenye banda na sehemu Yao YA kunya daily ni moja..... Matatizo YA mbwa kunya Kwenye banda wanakuwa wachafu Alafu wakikojolea Yale mavi yanatengeneza bacteria wanaozalisha kupe.... Mm nafuga mbwa kuanzia utoto wangu hadi Sasa Nipo early 30..... Mbwa akiwa na tabia YA kunya bandani namfundisha akiwa na kichwa ngumu namuuza au kugawa.... Mambo YA kuzoa mavi bandani yanakera Sana na ukisafiri wale unaowaachia jukumu awawez kufanya kama ww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom