Roman Empire
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 620
- 1,414
Ww kama unafuga mbwa anakunya bandan yakawanye uone kama atalala... Atasimama kutwa akichoka atakuwa analia kulalamika banda chafu.... Mbwa ni mnyama msafi Sana japo anakula vilivyooza....Hahaha nimeipenda iyo, eti uyatawanye