Unafahamu 21% ya waajiriwa wanatakiwa kuwa Wazanzibar?

Ningefanikiwa kuonana na Nyerere swali la kwanza kumuuliza aliwezaje kufuta nchi yake kwa ajili ya Zanzibari? Ardhi ya Tanganyika ambayo watanganyika wangefaidika nayo leo wanafaidika ambao kwako ni kwako ila kwetu ni kwao pia sijawahi kukutana na Mgogo akijitambulisha kuwa yeye ni Mgogo nchi za nje anajitambulisha kama Mtanzania lakini wazanzibari wote wanajitambulisha kama wazanzibari popote Duniani muungano kama unafaida bhasi ni kwa CCM si raia wa kawaida
Chukua Kvant kubwa kwa Mangi nakuja lipa
 
Back
Top Bottom