... hiyo sheria haipo; ni wenge tu la mleta mada!Wanzanzibar ni kama asilimia 2 tu ya Watanzania wote
Sasa ni mpuuzi gani alitunga sheria ya kipumbavu namna hii?
Huu muungano ni jinamizi.
Huu upuuzi niliuona pindi nipo JKT, wazenji walikuwa wanaajiriwa karibu asilimia 95 ya walioko JKT huku bara wakiambiwa waokote vikaratasi vya kubahatisha kama yes or No.
... na katika gharama za kuendesha muunganzo Zanzibar inachangia % ngapi? Ni hiyo 21% au?Na katika ajira za SMZ ni asilimia ngapi inatakiwa 'watanganyika'?
Muda mwingi wanahisi kuonewa tu.Kufanya kaz na wazenji ni mtihan mgumu Sana wanapenda kulamikalalamika sana aaah
Imebidi nicheke kwa hii commentMuda mwingi wanahisi kuonewa tu.
Jambo la kushangaza kama mnafanya jambo nao siku wakijua kulifanya wanaanza chuki nawe!.
Haya mambo ya ajabu sana sijapata kuona, hawa wazanzibar wanatunyonya sana ***** asee.Na kule kwao asilimia ngapi ya watanganyika wanatakiwa kuajiriwa? vinginevyo wabakie hukohuko haya mambo ya kubebena bebana yametuchosha
Hili swali wanatakiwa watujibu ili nasi tujue.Na katika ajira za SMZ ni asilimia ngapi inatakiwa 'watanganyika'?
Kwamba 21% ya WaTz ni WaZnz?HaBari Wakurugenzi..!
Kuna mambo ya Muungano wengi wetu tulikuwa hatujafundishwa shuleni lakini kitaa sasa ndio tunajifundisha.
Mfano hili la ajira zinazotolewa na JMT Wazanzibar wanatakiwa kupata mgawo wa asilimia 21 na Serikali ya Zanzibar inaandaa kanzu data na kuhakikisha wale wanaohitimu vyuo wanaajiriwa JMT.
Kiukweli kuna raha sana kuwa mzanzibar yaani ukatae wewe tu shule ajira nje nje awamu hii ya mzee Mwinyi.
Kwa rasilimali tulizojaliwa na mwenyezi Mungu, na ukiangalia idadi yao wazanzibari namna ilivyo ndogo, tulitakiwa kuwa na uwezo wa kugharimia kila kitu hata kwa 100% kwa SMZ na bado tusiweze ku-feel kuwa kuna kitu kimetoka Tanzania Bara na kwenda SMZ.HaBari Wakurugenzi..!
Kuna mambo ya Muungano wengi wetu tulikuwa hatujafundishwa shuleni lakini kitaa sasa ndio tunajifundisha.
Mfano hili la ajira zinazotolewa na JMT Wazanzibar wanatakiwa kupata mgawo wa asilimia 21 na Serikali ya Zanzibar inaandaa kanzu data na kuhakikisha wale wanaohitimu vyuo wanaajiriwa JMT.
Kiukweli kuna raha sana kuwa mzanzibar yaani ukatae wewe tu shule ajira nje nje awamu hii ya mzee Mwinyi.
Umenena vyema MkuuKwa rasilimali tulizojaliwa na mwenyezi Mungu, na ukiangalia idadi yao wazanzibari namna ilivyo ndogo, tulitakiwa kuwa na uwezo wa kugharimia kila kitu hata kwa 100% kwa SMZ na bado tusiweze ku-feel kuwa kuna kitu kimetoka Tanzania Bara na kwenda SMZ.
Ni kwa sababu tu hatujaweza kuyaweka mambo yetu sawa kama yalivyotakiwa kuwa na ndiyo maana tunaweza wakati mwingine ku-feel kuwa kuna kitu kama hicho unachokisema wewe hapa
Vikiambiwa vilipie umeme utavisikia kelele,vijamaa vinadekezwa sana.Vijama vinakula vya bure..bado kelele nyingi havinaga shukrani kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajira nje nje kwenye wizara za muungano tu ambazo hazizidi hata nneHaBari Wakurugenzi..!
Kuna mambo ya Muungano wengi wetu tulikuwa hatujafundishwa shuleni lakini kitaa sasa ndio tunajifundisha.
Mfano hili la ajira zinazotolewa na JMT Wazanzibar wanatakiwa kupata mgawo wa asilimia 21 na Serikali ya Zanzibar inaandaa kanzu data na kuhakikisha wale wanaohitimu vyuo wanaajiriwa JMT.
Kiukweli kuna raha sana kuwa mzanzibar yaani ukatae wewe tu shule ajira nje nje awamu hii ya mzee Mwinyi.
Kule sijajua labda tumuulize Mkojani😂😂Na kule kwao asilimia ngapi ya watanganyika wanatakiwa kuajiriwa? vinginevyo wabakie hukohuko haya mambo ya kubebena bebana yametuchosha
... na katika gharama za kuendesha muunganzo Zanzibar inachangia % ngapi? Ni hiyo 21% au?