Unafahamu 21% ya waajiriwa wanatakiwa kuwa Wazanzibar?

Wanzanzibar ni kama asilimia 2 tu ya Watanzania wote
Sasa ni mpuuzi gani alitunga sheria ya kipumbavu namna hii?
Huu muungano ni jinamizi.
Huu upuuzi niliuona pindi nipo JKT, wazenji walikuwa wanaajiriwa karibu asilimia 95 ya walioko JKT huku bara wakiambiwa waokote vikaratasi vya kubahatisha kama yes or No.
 
... ni sheria au kifungu kipi cha Katiba kinasema hivyo Chief! Na kama kipo, hao wazanzibari hawatatosha kujaza nafasi zitakazokuwepo - in short Zanzibar haitakuwa na tatizo la ajira.
 
Wanzanzibar ni kama asilimia 2 tu ya Watanzania wote
Sasa ni mpuuzi gani alitunga sheria ya kipumbavu namna hii?
Huu muungano ni jinamizi.
Huu upuuzi niliuona pindi nipo JKT, wazenji walikuwa wanaajiriwa karibu asilimia 95 ya walioko JKT huku bara wakiambiwa waokote vikaratasi vya kubahatisha kama yes or No.
... hiyo sheria haipo; ni wenge tu la mleta mada!
 
Wazanzibari wengi hawautaki Muungano.

Wanasema 'nchi' yao imekaliwa na 'mkoloni' mweusi; Tanganyika...

Sasa mbona tunawalazimisha..?!

Na kuwapa 'Rushwa zote hizo' ili tu Muungano uendelee..?!

Si tuuvunje tu badala ya kukaa kulialia..?!

Lazima LIPO JAMBO!
 
HaBari Wakurugenzi..!

Kuna mambo ya Muungano wengi wetu tulikuwa hatujafundishwa shuleni lakini kitaa sasa ndio tunajifundisha.

Mfano hili la ajira zinazotolewa na JMT Wazanzibar wanatakiwa kupata mgawo wa asilimia 21 na Serikali ya Zanzibar inaandaa kanzu data na kuhakikisha wale wanaohitimu vyuo wanaajiriwa JMT.

Kiukweli kuna raha sana kuwa mzanzibar yaani ukatae wewe tu shule ajira nje nje awamu hii ya mzee Mwinyi.
Kwamba 21% ya WaTz ni WaZnz?
 
HaBari Wakurugenzi..!

Kuna mambo ya Muungano wengi wetu tulikuwa hatujafundishwa shuleni lakini kitaa sasa ndio tunajifundisha.

Mfano hili la ajira zinazotolewa na JMT Wazanzibar wanatakiwa kupata mgawo wa asilimia 21 na Serikali ya Zanzibar inaandaa kanzu data na kuhakikisha wale wanaohitimu vyuo wanaajiriwa JMT.

Kiukweli kuna raha sana kuwa mzanzibar yaani ukatae wewe tu shule ajira nje nje awamu hii ya mzee Mwinyi.
Kwa rasilimali tulizojaliwa na mwenyezi Mungu, na ukiangalia idadi yao wazanzibari namna ilivyo ndogo, tulitakiwa kuwa na uwezo wa kugharimia kila kitu hata kwa 100% kwa SMZ na bado tusiweze ku-feel kuwa kuna kitu kimetoka Tanzania Bara na kwenda SMZ.

Ni kwa sababu tu hatujaweza kuyaweka mambo yetu sawa kama yalivyotakiwa kuwa na ndiyo maana tunaweza wakati mwingine ku-feel kuwa kuna kitu kama hicho unachokisema wewe hapa
 
Kwa rasilimali tulizojaliwa na mwenyezi Mungu, na ukiangalia idadi yao wazanzibari namna ilivyo ndogo, tulitakiwa kuwa na uwezo wa kugharimia kila kitu hata kwa 100% kwa SMZ na bado tusiweze ku-feel kuwa kuna kitu kimetoka Tanzania Bara na kwenda SMZ.

Ni kwa sababu tu hatujaweza kuyaweka mambo yetu sawa kama yalivyotakiwa kuwa na ndiyo maana tunaweza wakati mwingine ku-feel kuwa kuna kitu kama hicho unachokisema wewe hapa
Umenena vyema Mkuu
 
HaBari Wakurugenzi..!

Kuna mambo ya Muungano wengi wetu tulikuwa hatujafundishwa shuleni lakini kitaa sasa ndio tunajifundisha.

Mfano hili la ajira zinazotolewa na JMT Wazanzibar wanatakiwa kupata mgawo wa asilimia 21 na Serikali ya Zanzibar inaandaa kanzu data na kuhakikisha wale wanaohitimu vyuo wanaajiriwa JMT.

Kiukweli kuna raha sana kuwa mzanzibar yaani ukatae wewe tu shule ajira nje nje awamu hii ya mzee Mwinyi.
Ajira nje nje kwenye wizara za muungano tu ambazo hazizidi hata nne

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom