Waswahili wenzangu hii tabia ya kwenda kwa mtu usiku bila taarifa yeyote halafu unategemea ule na mambo kama hayo, hivi unategemea watu wajiandaeje sasa?
Hivi kwa nini mnaendekeza hii tabia inayokera kupita maelezo? Kumbuka kupika chakula cha mtu mmoja ni gharama kifedha na pia inagharimu muda jamani.
Kwa mfano ugali na wali kuupika inachukua karibia dakika 40 hadi lisaa. Sisi wamama ukija kwetu hata bila taarifa inabidi upikiwe.
Kwanini unamshtukiza mtu bila taarifa jamani?
Hivi kwa nini mnaendekeza hii tabia inayokera kupita maelezo? Kumbuka kupika chakula cha mtu mmoja ni gharama kifedha na pia inagharimu muda jamani.
Kwa mfano ugali na wali kuupika inachukua karibia dakika 40 hadi lisaa. Sisi wamama ukija kwetu hata bila taarifa inabidi upikiwe.
Kwanini unamshtukiza mtu bila taarifa jamani?