kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
We utakua unatumia rice cooker au jiko la gesi ndio maana unaona poa tu, Kimbembe kwa wanaotumia kuni au jiko la mkaa.mi kwa imani yangu kuna watu walipokea watu nyumbani kwao wakawafanyia ukarimu kwa kuwachinjia kondoo alienona kumbe wale watu ni malaika wakamwambia mambo mazuri yakaja timia....kuna watu walitoa kibaba cha mafuta ya mwisho yaliyobakia kwa wageni mafuta yakazidishwa....acheni uchoyo mnaelekea kubaya.mwanamke ukalalamike kupika ugali mara mbili kweli haipendezi kabisa....mie napika kwa furaha zote..sharp
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona rahisi tu
Akija bila kukwambia usipike
halijakemewa unaambiwa tuwe wakarimu kwa wageni isipokua inakatazwa kwenda kupeleka miguu yako mara kwa mara kwa jirani yako.We utakua unatumia rice cooker au jiko la gesi ndio maana unaona poa tu, Kimbembe kwa wanaotumia kuni au jiko la mkaa.
Ila mbona hata kwenye mafundisho ya dini yako hilo jambo limekemewa?
Maendeleo hayana chama
waswahili wenzangu hii tabia ya kwenda kwa mtu usiku bila taarifa yeyote alafu unayegemea ule,na mambo kama hayo hivi unategemea watu wajiandaeje sasa.
hivi kwa nini mnaendekeza hii tabia inayokera kupita maelezo.
kumbuka kupika chakula cha mtu mmoja ni gharama na pia inagharimu muda jamani.
kwa mfano ugali na wali kuupika inachukua karibia dakika 40 hadi lisaa
sisi wamama ukija kwetu hata bila taarifa inabidi upikiwe.
unamshtukiza mtu bila taarifa jamani
Kimsingi ukitoa taarifa umaana wa ugeni haupo tenaDah nikekumbuka, kuna familia moja ukienda bila taarifa kuna mtu ana nuna kweli, mmmh kwanini uje bila taarifa, na hata kama ni ndugu chakula anaweza asipewe. Kazi kweli
waswahili wenzangu hii tabia ya kwenda kwa mtu usiku bila taarifa yeyote alafu unayegemea ule,na mambo kama hayo hivi unategemea watu wajiandaeje sasa.
hivi kwa nini mnaendekeza hii tabia inayokera kupita maelezo.
kumbuka kupika chakula cha mtu mmoja ni gharama na pia inagharimu muda jamani.
kwa mfano ugali na wali kuupika inachukua karibia dakika 40 hadi lisaa
sisi wamama ukija kwetu hata bila taarifa inabidi upikiwe.
unamshtukiza mtu bila taarifa jamani
na hapo ndipo tunapofeliWatanzania hatuna utamaduni wa kunyimana au kusimangana kuhusu chakula.
Tusiige utamaduni wa jamii zingine kuhusu ukarimu.