K Kifulambute JF-Expert Member May 8, 2011 2,539 755 May 11, 2012 #3 mbona anakidot kwenye sikio huyu nae vipi?
G Godwishes JF-Expert Member Aug 26, 2011 640 165 May 11, 2012 #5 mpunga mtamu we haacha kabisa!Unadhani alitegemea vitabu vingerudi roma?
BINARY NO JF-Expert Member Dec 29, 2011 2,148 2,160 May 11, 2012 #7 Muone alivyovimba yeye anadhani ni unene kumbe dhambi zimemfumuka ili kila Mtanzania amuone
K kitenge shaban Member Nov 23, 2011 14 2 May 11, 2012 #8 Anafikiria baada ya hapa... Maisha yatakuwaje eti.... ? Nae aliisha Zoea kuitwa Mzee na ulinzi mkubwaaaaa! Maisha bwana !
Anafikiria baada ya hapa... Maisha yatakuwaje eti.... ? Nae aliisha Zoea kuitwa Mzee na ulinzi mkubwaaaaa! Maisha bwana !
M Mboerap Senior Member Apr 8, 2012 157 21 May 11, 2012 #9 Nimemfaham bwana miti tu, hao wengine 2 ni kinanani?
simaye JF-Expert Member Nov 5, 2010 426 214 May 18, 2012 #11 mbona jamaa kama amelala au anawaza nini kitatokea baada ya hapo.
mshamu JF-Expert Member Aug 5, 2011 418 133 May 18, 2012 #12 hii kali jamaa anajifanya mwema sasa ngoja tuone amesema bunge lijalo atatupa ukweli halisi
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,015 16,447 May 18, 2012 #13 Jamaa anawaza ulaji utapungua kidoogo!
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 May 19, 2012 #16 tz1 said: View attachment 54052 Kama haamini vile kilichotokea. Click to expand... Majambazi wa mali za Umma! Ila hakika mwisho wao waja!
tz1 said: View attachment 54052 Kama haamini vile kilichotokea. Click to expand... Majambazi wa mali za Umma! Ila hakika mwisho wao waja!
King2 JF-Expert Member Nov 16, 2011 1,277 181 May 20, 2012 #17 Jamaa nikama wamelazimishwa kuwepo hapo.