Unaelewa nini unaposikia Mtu akisema yeye anasomea Computer?

Mshika Tester

Member
May 3, 2020
38
35
katika fani ambazo zimejificha na siyo rahisi mtu kujua manufaa ya kusoma ni fani za Computer.

Zamani niliamini ya kwamba mtu hana haja ya kusomea Computer anaweza kujifunza kama vile ilivyo simu. Hivi na wewe unaamini kama nilivyokuwa na amini mimi au wewe unamtazamo gani mtu anaposema anasomea Computer?

Unaweza kuwa ni mada kama ya utani vile lakini kuna vijana wengi utawaokoa kupitia mchango wako, usipuuze kuweka maoni yako.
 
Maanake computer inatumika kusomea kama vile darasa kipindi kama cha lockdown. Kwa lugha nyepesi ni notes, vitini na madesa yote yamo kwenye computer.

Sijui umenipata au nimekuvuruga zaidi?
 
Maanake computer inatumika kusomea kama vile darasa kipindi kama cha lockdown. Kwa lugha nyepesi ni notes, vitini na madesa yote yamo kwenye computer.

Sijui umenipata au nimekuvuruga zaidi?
Mtazamo wako ni upi? au na wewe unaamini wanosomea computer wanapoteza muda na pesa?
 
Kuna kazi mbili za Computer nimesaau maneno

1)Using Program; haya ndio asilimia kubwa duniani hutumia mfano Ms Office, VLC, Gaming nk.

2)Creating Program; hapa inabidi ujifunze hapa kuna Coding (Programming), Graphics Designing nk asilia chache wanatumia huu upande.

Unaposikia mtu anaenda kusomea Computer nk upande wa Creating zaidi kwa Simu imetengenezwa 95% For using only.
 
-Computer Science
-Computer Engineering

Tofautisha Computer Courses zinazotolewa na Upendo Center au Eagle Wing College!! Kujifunza kuwasha computer , Ku Type , Exel , Words , Power Point etc
 
-Computer Science
-Computer Engineering

Tofautisha Computer Courses zinazotolewa na Upendo Center au Eagle Wing College!! Kujifunza kuwasha computer , Ku Type , Exel , Words , Power Point etc

hicho ndicho ninacholenga sitaki kuzungumzia mimi moja kwa moja ila nataka wadau watoe maoni yao ili tuifahamishe jamii yetu ni nini hasa maana ya kusomea computer i.e nini undani wa kozi za computer faida, ajira, kujiajiri nk
 
Wewe nini maoni yako acha kuzunguka zunguka kama mwanasiasa.

maoni yangu kwa sasa katika kusomea computer kuna zaidi ya kujua kutumia computer...siku nyingine jifinze kufuata utaratibu wa watu wengine ukishindwa kuafuata atleast heshimu utaratibu wa watu wengine.
 
maoni yangu kwa sasa katika kusomea computer kuna zaidi ya kujua kutumia computer...siku nyingine jifinze kufuata utaratibu wa watu wengine ukishindwa kuafuata atleast heshimu utaratibu wa watu wengine.
We vipi siwezi kufata utaratibu wako usinipangie,kuandika kwenyewe hujui.
 
katika fani ambazo zimejificha na siyo rahisi mtu kujua manufaa ya kusoma ni fani za Computer.

Zamani niliamini ya kwamba mtu hana haja ya kusomea Computer anaweza kujifunza kama vile ilivyo simu. Hivi na wewe unaamini kama nilivyokuwa na amini mimi au wewe unamtazamo gani mtu anaposema anasomea Computer?

Unaweza kuwa ni mada kama ya utani vile lakini kuna vijana wengi utawaokoa kupitia mchango wako, usipuuze kuweka maoni yako.
Kwa majibu mepesi mepesi watu wanayotoa hapa sidhani kama kuna cha kuchifunza hapa. Wengi wetu hatujui kiufasaha yaliyo jificha ndani labda atokee mtaalamu aanze kudadavua. Kama mtu ana muda ajaribu kupitia nyuzi za zamani anaweza akaambulia kitu. Ushauri wangu kwa anaetaka kujifunza haya makitu watafute mtu mwenye uelewa (kama diploma ya IT or CS au zaidi) awafahamishe.
 
unaposema mtu hana haja ya kusomea computer anawez kujifunza kwa kutumia kama simu ni sawa na kumfananisha mtu anaekaa kwenye nyumba na civil engineer au Architecture
kutumia tu computer kwa matumizi ya kawaid yani final usage ni kama kutumia tu nyumba kulala ambayo hujui hata ramani yake ilichorwaje
kwa hiyo ukisikia mtu anasoma computer maana yake sio anasoma matumizi ya computer bali anasoma utaalamu wa kuwezesha hayo matumizi yawezekane
 
unaposema mtu hana haja ya kusomea computer anawez kujifunza kwa kutumia kama simu ni sawa na kumfananisha mtu anaekaa kwenye nyumba na civil engineer au Architecture
kutumia tu computer kwa matumizi ya kawaid yani final usage ni kama kutumia tu nyumba kulala ambayo hujui hata ramani yake ilichorwaje
kwa hiyo ukisikia mtu anasoma computer maana yake sio anasoma matumizi ya computer bali anasoma utaalamu wa kuwezesha hayo matumizi yawezekane
Kwa hapa bongo hii fani haifundishwi ipasavyo imezalisha watu wanaokremu notice ambaye hata laptop yake ikiharibika anapeleka kwa fundi ambae hana hata diploma
 
Kwa hapa bongo hii fani haifundishwi ipasavyo imezalisha watu wanaokremu notice ambaye hata laptop yake ikiharibika anapeleka kwa fundi ambae hana hata diploma
Huo ni mjadala mpana,kwanza fani kama computer sceince ni pana sana,ni ngumu kwa chuo chochote duniani kutoa graduate ambaye atakuwa ameiva kwenye kila kona ya computer science....kama graduate hajaiva hata kona moja ya computer science hilo linaweza kuwa tatizo la graduate mwenyewe binafsi kwa sababu chuo kwa fani za computer ni kama platform tu kwamba umepewa access ya library,ya lectures na labs
kuna kona za computer science kama programming,system administration graduate anaweza akafunikwa na mtu alie mtaani kwa sababu zenyewe haziitaji sana hizo access ili mtu awe competent,the bad of story ni kwamba hizo kona ndio zina soko zaidi kwa sasa kwenye nchi kama Tanzania
 
Back
Top Bottom