Unadhani ni nani anafaa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake?

Tangu mwenda zake haondoke huyu jamaa kapwaya kiutendaji sana Tena sana!! Kwa maoni yangu anamuhujumu Samia, hakubaliani nae kabisa. Mama shituka Kuna genge Serikalini linakuhujumu likiongzwa na PM, katibu wake akiwa Angelina Mabula! Mratibu mkuu ni Mkamba jr
 
Tangy mwenda zake haondoke huyu jamaa kapwaya kiutendaji sana Tena sana!! Kwa maoni yangu anamuujumu Samia, hakubaliani nae kabisa. Mama shituka Kuna genge serikalini linakuujumu likiongzwa na pm katibu wake akiwa ajelina mabula! Mratibu mkuu ni mkamba jr
duh... mkuu hizi ni tuhuma nzito mno, JF itahitaji ushahidi kabla ya kuanza kuzifanyika kazi. kumbuka hili jukwa ni kongwe na lina watu wanaojitambua.
 
Ukitutajia kundi la wana CCM wezi waliokubuhu tutakutajia mwizi konki ambaye ndio atakuwa PM wetu.
 
Hili ni swali tu ndugu zangu, wala halina Uhusiano na jambo lolote lile.

Cheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ni kama mbio za kupokezana vijiti tu, leo huyu, kesho yule .

Kiongozi aweza kuachia madaraka kwa kuondolewa na Mamlaka ya Uteuzi, aweza pia kuachia madaraka kwa hiyari yake, ama aweza kuondoka kwa kumaliza utumishi wake kwa mujibu wa sheria, Hivyo basi msiogope kupendekeza majina mapya, maana hakuna Waziri Mkuu wa Milele.

Cha Msingi ni kuzingatia tu kwamba Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba, Waziri Mkuu ni lazima atokane na Wabunge wa kuchaguliwa.

Taja Jina ulitakalo bila hofu yoyote. Utalindwa.
[/
Sele man jafo
Kilaza
 
1. Prince Nape AU
2. Prince January AU
3. Prince Ridh 1 AU
4. Dr. Mwigulu
 
Back
Top Bottom