Its Tesha
Senior Member
- Oct 6, 2025
- 168
- 604
Baada ya kutekwa kwa Balozi Polepole natoa tahadhari kwa watu wengine ambao wapo kwenye hatari ya kutekwa kwanza Askofu Josephat Gwajima, pili Joh Heche na tatu Mkurugenzi wa JF Melo yupo hatarini sana kwa namna alivyokuwa akizungumza inaweza kuwa hatari kwake.
Hawapaswi kabisa kuwa nchini makosa aliyoyafanya Polepole yasifanyike kwa wale niliowataja.
Asanteni.
Hawapaswi kabisa kuwa nchini makosa aliyoyafanya Polepole yasifanyike kwa wale niliowataja.
Asanteni.