20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
Umeongea na kuweka details za kutisha tu.
Kuwa gay ni matakwa tu, kuna makala zina andaliwa kuwekwa kwenye vitabu na mitandaoni ikiwa na lengo la kupandikiza ushoga kwa njia kadhaaaa.
1. Kujenga doubts kwa walio straight kujihisi wanaweza kuwa na feelings na ushoga.
2.Kuondoa hofu kwa wanaofanya kuona kuwa ni kitu cha kawaida hata inafika hatua ya kuji expose kwa marafiki.
3.Kuweka sublimnal mesej kwa mind zetu hiii inaoperate sana.
Hizi tamhtlia zimefikia hadi kwenye katuni za watoto waanze kuwaandaaa na hizi ishu za ushoga.
#Pinga ushoga kaa mbali na vitu vinavyo pandikiza ushoga. Linda kizazi chako
Kuwa gay ni matakwa tu, kuna makala zina andaliwa kuwekwa kwenye vitabu na mitandaoni ikiwa na lengo la kupandikiza ushoga kwa njia kadhaaaa.
1. Kujenga doubts kwa walio straight kujihisi wanaweza kuwa na feelings na ushoga.
2.Kuondoa hofu kwa wanaofanya kuona kuwa ni kitu cha kawaida hata inafika hatua ya kuji expose kwa marafiki.
3.Kuweka sublimnal mesej kwa mind zetu hiii inaoperate sana.
Hizi tamhtlia zimefikia hadi kwenye katuni za watoto waanze kuwaandaaa na hizi ishu za ushoga.
#Pinga ushoga kaa mbali na vitu vinavyo pandikiza ushoga. Linda kizazi chako