Unabii wangu kwa Dkt. Slaa umetimia

Unabii wangu kwa Dkt. Slaa umetimia

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,619
Gazeti moja la kila juma linalochapishwa katika lugha ya Kiswahili, leo ukurasa wa mbele limeripoti CHADEMA kumuhitaji Dkt. Wilbroad Slaa tena kwa msisitizo eti "kwa wakati huu kuliko uliopita" kikitaja sababu kuwa ni uwezo wake wa kuelewa mambo na kutetea misimamo yake.

Naendelea kuamini kuwa kwenye siasa chanya inawezakuwa hasi na hasi inawezakuwa chanya. Huenda siku moja CHADEMA kikawahitaji Lowassa na Sumaye.

Julai 2, 2023, niliandika makala humu yenye kichwa "Dkt. Wilbroad Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja?" Leo yanatimia.

Ushauri wangu kwa Dkt. Slaa kama ataridhia mwaliko huu, ni kuwa aende kukisaidia CHADEMA kutengeneza agenda ya kueleweka ya miaka hata 20 mbele ili kukiokoa na saratani ya "zero-agenda" ambayo inakifanya kuviziavizia matukio ya kitaifa na kuyadaka na kuyalazimisha kuwa agenda yake.

Matukio hayo yanapozimwa na matukio mapya ya kutengenezwa CHADEMA kinajikuta kinapoteza mwelekeo kwa sababu hakijatengeneza hayo matukio na matukio hayawezi kuwa agenda.

Hamu ya CHADEMA kumuhitaji Dkt. Slaa KWA DHARURA inathibitisha uelewa wangu wa siku zote kuwa urais siyo rangi ya nywele wala rika wala makunyanzi urais ni ubongo wa mtu, ndiyo maana Wamarekani walimchagua Obama kijana na leo wakamchagua Biden babu kabisaaa...

Kenya tu hapo, babu Mwai Kibaki ameacha legacy ambayo Uhuru Kenyatta kijana hajaacha. Kumbe urais ni ubongo wa mtu siyo mwonekano wa mtu. Mwl. Nyerere aliendelea kuisahihisha dunia na JMT hata katika umri mkubwa baada ya kung'atuka. Ni vivyo hivyo kwa rais Nelson Mandela wa Afrika Kusini.

Hadi hapa tulipo leo CHADEMA hakina agenda na CHADEMA hakina Presidential material. Kina kazi ngumu ya kusaka hivyo viwili ndani ya muda mfupi uliobaki wa kujiandaa. Asomaye na afahamu!

- Dkt. Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Gazeti moja la kila siku linalochapishwa katika lugha ya Kiswahili, leo ukurasa wa mbele limeripoti CHADEMA kumuhitaji Dkt. Wilbroad Slaa tena kwa msisitizo eti "kwa wakati huu kuliko uliopita" kikitaja sababu kuwa ni uwezo wake wa kuelewa mambo na kutetea misimamo yake.

Naendelea kuamini kuwa kwenye siasa chanya inawezakuwa hasi na hasi inawezakuwa chanya. Huenda siku moja CHADEMA kikawahitaji Lowassa na Sumaye.

Julai 2, 2023, niliandika makala humu yenye kichwa "Dkt. Wilbroad Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja?" Leo yanatimia.

Ushauri wangu kwa Dkt. Slaa kama ataridhia mwaliko huu, ni kuwa aende kukisaidia CHADEMA kujenga agenda ya kueleweka ya miaka hata 20 mbele ili kukiokoa na saratani ya "zero-agenda" ambayo inakifanya kuviziavizia matukio ya kitaifa na kuyadaka na kuyalazimisha kuwa agenda yake.

Matukio hayo yanapozimwa na matukio mapya ya kutengenezwa CHADEMA kinajikuta kinapoteza mwelekeo kwa sababu hakijatengeneza hayo matukio na matukio hayawezi kuwa agenda.

Hamu ya CHADEMA kumuhitaji Dkt. Slaa KWA DHARURA inathibitisha uelewa wangu wa siku zote kuwa urais siyo rangi ya nywele wala rika wala makunyanzi urais ni ubongo wa mtu, ndiyo maana Wamarekani walimchagua Obama kijana na leo wakamchagua Biden babu kabisaaa...

Hadi hapa tulipo leo CHADEMA hakina agenda na CHADEMA hakina Presidential material. Kina kazi ngumu ya kusaka hivyo viwili ndani ya muda mfupi uliobaki wa kujiandaa. Asomaye na afahamu!


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Duh...!, niliwahigi kuuliza humu, Swali Kuhusu Kulamba Matapishi: Kwanini Iwe ni Kinyaa Wakati Matapishi ni Chakula Kile Kile?!.
P
 
Chadema wawahi haraka wachukue kibabu Chao, we mbabu anaongea kama kibogoyo lkn chadema wanamwona zahabu, Kwa kweli ukitaka kucheka fatilia tu habari za chadema
 
Hana lolote zaidi ya kuwa mropokaji. Ila Kwa Cdm Ili mradi una kiki hasa kwenye kukosoa serikali wewe unakuwa ni shujaa kwao. Ukimponda Mwenyekiti wewe unakuwa adui wa kudumu.

Slaa alishamkosoa Mwenyekiti haaminiki kamwe!
Sawa, ila M'kiti anapozama na hakuna rafiki wa kupokea mkono wake ili amuopoe basi adui akimnyooshea mkono kumuopoa ataudaka mithili ya samaki anavyodaka chambo.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Chadema wawahi haraka wachukue kibabu Chao, we mbabu anaongea kama kibogoyo lkn chadema wanamwona zahabu, Kwa kweli ukitaka kucheka fatilia tu habari za chadema
Kenya tu hapo, babu Mwai Kibaki ameacha legacy ambayo Uhuru kijana hajaacha. Kumbe urais ni ubongo wa mtu siyo mwonekano wa mtu. Nyerere aliendelea kuikosoa dunia na JMT hata katika umri mkubwa baada ya kung'atuka. Nelson Mandela vivyo hivyo.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Gazeti moja la kila siku linalochapishwa katika lugha ya Kiswahili, leo ukurasa wa mbele limeripoti CHADEMA kumuhitaji Dkt. Wilbroad Slaa tena kwa msisitizo eti "kwa wakati huu kuliko uliopita" kikitaja sababu kuwa ni uwezo wake wa kuelewa mambo na kutetea misimamo yake.

Naendelea kuamini kuwa kwenye siasa chanya inawezakuwa hasi na hasi inawezakuwa chanya. Huenda siku moja CHADEMA kikawahitaji Lowassa na Sumaye.

Julai 2, 2023, niliandika makala humu yenye kichwa "Dkt. Wilbroad Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja?" Leo yanatimia.

Ushauri wangu kwa Dkt. Slaa kama ataridhia mwaliko huu, ni kuwa aende kukisaidia CHADEMA kutengeneza agenda ya kueleweka ya miaka hata 20 mbele ili kukiokoa na saratani ya "zero-agenda" ambayo inakifanya kuviziavizia matukio ya kitaifa na kuyadaka na kuyalazimisha kuwa agenda yake.

Matukio hayo yanapozimwa na matukio mapya ya kutengenezwa CHADEMA kinajikuta kinapoteza mwelekeo kwa sababu hakijatengeneza hayo matukio na matukio hayawezi kuwa agenda.

Hamu ya CHADEMA kumuhitaji Dkt. Slaa KWA DHARURA inathibitisha uelewa wangu wa siku zote kuwa urais siyo rangi ya nywele wala rika wala makunyanzi urais ni ubongo wa mtu, ndiyo maana Wamarekani walimchagua Obama kijana na leo wakamchagua Biden babu kabisaaa...

Kenya tu hapo, babu Mwai Kibaki ameacha legacy ambayo Uhuru Kenyatta kijana hajaacha. Kumbe urais ni ubongo wa mtu siyo mwonekano wa mtu. Nyerere aliendelea kuikosoa dunia na JMT hata katika umri mkubwa baada ya kung'atuka.

Hadi hapa tulipo leo CHADEMA hakina agenda na CHADEMA hakina Presidential material. Kina kazi ngumu ya kusaka hivyo viwili ndani ya muda mfupi uliobaki wa kujiandaa. Asomaye na afahamu!


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Siasa za nchi nzima zimekosa mwelekeo na agenda.
 
Gazeti moja la kila siku linalochapishwa katika lugha ya Kiswahili, leo ukurasa wa mbele limeripoti CHADEMA kumuhitaji Dkt. Wilbroad Slaa tena kwa msisitizo eti "kwa wakati huu kuliko uliopita" kikitaja sababu kuwa ni uwezo wake wa kuelewa mambo na kutetea misimamo yake.

Naendelea kuamini kuwa kwenye siasa chanya inawezakuwa hasi na hasi inawezakuwa chanya. Huenda siku moja CHADEMA kikawahitaji Lowassa na Sumaye.

Julai 2, 2023, niliandika makala humu yenye kichwa "Dkt. Wilbroad Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja?" Leo yanatimia.

Ushauri wangu kwa Dkt. Slaa kama ataridhia mwaliko huu, ni kuwa aende kukisaidia CHADEMA kutengeneza agenda ya kueleweka ya miaka hata 20 mbele ili kukiokoa na saratani ya "zero-agenda" ambayo inakifanya kuviziavizia matukio ya kitaifa na kuyadaka na kuyalazimisha kuwa agenda yake.

Matukio hayo yanapozimwa na matukio mapya ya kutengenezwa CHADEMA kinajikuta kinapoteza mwelekeo kwa sababu hakijatengeneza hayo matukio na matukio hayawezi kuwa agenda.

Hamu ya CHADEMA kumuhitaji Dkt. Slaa KWA DHARURA inathibitisha uelewa wangu wa siku zote kuwa urais siyo rangi ya nywele wala rika wala makunyanzi urais ni ubongo wa mtu, ndiyo maana Wamarekani walimchagua Obama kijana na leo wakamchagua Biden babu kabisaaa...

Kenya tu hapo, babu Mwai Kibaki ameacha legacy ambayo Uhuru Kenyatta kijana hajaacha. Kumbe urais ni ubongo wa mtu siyo mwonekano wa mtu. Mwl. Nyerere aliendelea kuisahihisha dunia na JMT hata katika umri mkubwa baada ya kung'atuka. Ni vivyo hivyo kwa rais Nelson Mandela wa Afrika Kusini.

Hadi hapa tulipo leo CHADEMA hakina agenda na CHADEMA hakina Presidential material. Kina kazi ngumu ya kusaka hivyo viwili ndani ya muda mfupi uliobaki wa kujiandaa. Asomaye na afahamu!


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
CHADEMA ni chama cha kikristo na Slaa naye ni mgalatia kwani kuna cha ajabu. Acha wafu waungane parokiani kwao.
 
Inazo tele. Tena wewe inaonekana umesoma shule za kata na unashabikia chadema wakati shule uliyosoma ni zao la ilani na sera thabiti za CCM.
Mimi sipo CDM wala chama chochote, napenda haki tu.

Ukiacha wizi wa kura na wizi wa fedha za umma, mna sera gani nyingine?
 
Sisi CHADEMA hatumtaki Dr Slaa... tuna majembe ya maana ndani ya Chama. Kuna makamanda Joyce Mukya, Mdude Nyagali, Meya mstaafu Boni, John Pumbulu, Askofu Mwamakula na Askofu Bagonza. Na mwaka 2025 tutamsimamisha mwanamke wa shoka Joyce Mukya kwenye urais dhidi ya Mh Samia Suluhu wa CCM.
 
1+1= 2 mathematicaly and true

1+1=1 Tangania politically is true. Zanzibar + Tanganyika=Tanzaniia

1+1=1 mathematically is true depending on which module does it belong



Sent using Jamii Forums mobile app
1+1=3 politically is true.

Tanganyika+ Zanzibar = Tanganyika ,Zanzibar and Tanzania
 
Back
Top Bottom