Unabii wa mwezi wa 8

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
2,591
Reaction score
4,471
πŸ”Š UNABII WA MWEZI WA 8

Mwezi wa 8 naona ukiwa mwezi wa utulivu, lakini ndani ya utulivu huo kutajitokeza mambo makubwa. Naona mbingu zikitulia ili kuleta majibu kwa wengi wanaomtafuta Mungu kwa imani.

Maono niliyoandika leo:

1. Naona tasnia ya Bongo Fleva ikipata pigo kubwa.

2. Naona katika Bongo Movie yakitokea matukio mawili ya huzuni yanayowahusu wasanii wawili wanaopendwa na watu wengi.

3. Naona Bunge la Tanzania likiwa katika hali ya huzuni, na nafasi mbili za ubunge zikibaki wazi.

4. Naona upande wa Arusha tukio kubwa linalohusisha mlima na mlipuko wa volkano.

5. Naona atatoka, lakini hatabadilika; badala yake atarudi akiwa na msimamo mkali zaidi kuliko ule wa kwanza.

6. Wafanyabiashara, simameni katika maombi. Naona vifo vya baadhi ya wafanyabiashara wakubwa na wadogo.

Mungu awarehemu watu wake na ageuze kila jambo baya kuwa ushuhuda. Tuendelee kuomba na kumtumaini yeye katika kila wakati.



✍️ Imeandikwa leo: 28-07-2026
 
Tapeli
 
Mwanafunzi aingii darasani , hataki kuandika notes

Je akifeli akapata zero au four huu na wenyewe tuuite unabii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…