TBO
Senior Member
- Jan 3, 2014
- 194
- 87
Gari haina shida yeyote ni kuweka mafuta na kuyeya .jipatie ndinga la kwako uepukane na daladala kwa bei ya kutupa 1.6m tena kwa uhakika uje na fundi wako0789630368
Ahh mkuu gari yako ni bei nafuu sana na kama halina tatizo kwa nini uuze kwa bei ya kutupaGari haina shida yeyote ni kuweka mafuta na kuyeya .jipatie ndinga la kwako uepukane na daladala kwa bei ya kutupa 1.6m tena kwa uhakika uje na fundi wako0789630368
Chukua laki 8 fasta niPM namba zako za Mpesa nikutumie nije kuchukua ndingaBei kuwa nafuu haina maana kama gari ni kimeo na ndio maana nimesema mtu aje na fundi wake kuk\gua mimi nauza ili niongezee hela ninunue gari lengine kama huna gari na unalipuuza hili inakuwa imekula kwako
Sio mbaya kwa ulivyo andika maana unaleta ucheshi humuChukua laki 8 fasta niPM namba zako za Mpesa nikutumie nije kuchukua ndinga
Sent using Jamii Forums mobile app
we utakuwa tayari unagari maana mtu mwenye njaa huwa hachagui chakulaTatizo imepakwa rangi za kiganga! red & black,, kama rangi za hirizi
Sent using Jamii Forums mobile app