maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,046
- 4,608
Mi ni muhanga wa hilo inawezekana kabisaGrena Aisee Naomba kuuliza Wanabodi hii karma inaingia hadi kwnye Mapenzi like kuto mpenda anae kupenda ? ?
Mi ni muhanga wa hilo inawezekana kabisaGrena Aisee Naomba kuuliza Wanabodi hii karma inaingia hadi kwnye Mapenzi like kuto mpenda anae kupenda ? ?
Ninacho amini kitu kinachorudia kwa mtu ni kule alicho kusudia, kwa mfano deni...kuna mtu anakua anamdai mtu pesa na kamwe hamlipi kwa kipindi kirefu mpaka mkopeshaji anaamua kusema namuachia MUNGU.Alisema msomi mmoja kuwa (natafsiri kwa lugha ya taifa) "huwa mara nyingi haimwachi salama mtenda lazima imrudie kwa kiasi kile kile alichotenda kwa mwenzake au inazidi kuliko yule mtendewa sasa akibahatika isimpate basi atawapa tabu kidogo tu uzao wake Ila asilimia 99 huwa zinampata mhusika nashauri tutende wema kwa kila mtu kwani binadamu hatilii maanani jambo zuri hadi limpate ndo anarudi nyuma kutafakari"
Mkuu Kama walikudhulumu kwa makusudi karma will catch up with them ama hata ukute ilishawapata. Utapata walipata hasara ya pesa ama familia ilipitia shida magonjwa/ajali ikabidi watumie pesa.Kuna wamama walinidhulumu hela yangu ya kuku jamani, niliwapelekea kuku wakanipa hela kidogo, hiyo nyingine nilifuatilia hadi nikachoka kwa kweli, na nilikuwa napitia kipindi kigumu kweli kweli mwishoni niliamua kumwachia Mungu na sikwenda tena kudai hadi leo
Mkuu kusamehe ndio rule number one, Na kuhusu Karma sio eti umfatilie anaendeleaje na kumuombea mabaya. Samehe and leave it to God. Karma will catch up with them hata bila wewe kujua though wengine huona how karma catch up na waliowatendea mabaya.Kuna watu tumefanyiwa Mambo ya ajabu Sana na watu tuliowaamini na kuwathamini
Kitu kimoja kikubwa nmejifunza kuhusu maisha
Ni kwamba It goes on
Nasamehe nasamehe , nasamehe kwa faida ya moyo wangu
Kama karma IPO sawa
Usikute na Mimi nalipa Mambo ya mzee wangu
Samehe endelea na maisha sifuatilii anaendeleaje
Atajua mwenyewe kikubwa nahakikisha na mafanikio makubwa
You will always be offended by some people at some point in your life. Don’t take it to heart. Don’t keep it inside you. Holding on to hurt and pain will only harm you in the long run. Choose to forgive. Release the baggage of your past. Let it go and let the Almighty heal you!
Even the most "genuine" people can fool you. In this day & age it’s hard to tell who’s a true friend. So you go through life hoping people are being sincere & genuine. But be prepared to be let down. It’s part of life. People will hurt you. Only the Almighty can heal you!
Uko Sawa 100%Huyo uliekua unamdai ukamkuta anaumwa unafikiri hayo ndo yalikua malipo ya deni lako? Je ungekua humdai asingeumwa?
Neno malipo ni hapahapa duniani ni maneno yaliyo andaliwa ili wanyonge wayaamini na wapoteze haki zao.
Hii Dunia haipo kwaajili ya watu wanao samehesamehe
Sio muumini wa Imani yako hii mkuuMkuu kusamehe ndio rule number one, Na kuhusu Karma sio eti umfatilie anaendeleaje na kumuombea mabaya. Samehe and leave it to God. Karma will catch up with them hata bila wewe kujua though wengine huona how karma catch up na waliowatendea mabaya.
Karma humuombei mtu mabaya yamtokee infact ukiwa unamuombea mabaya yamtokee utasubiri Sana. Samehe and move on na maisha Kama vile hajawahi kukukosea. Karma itself will catch up na huyo mkosaji.Sio muumini wa Imani yako hii mkuu
Siombei mabaya yawakute walionikosea
Sawa siamini karma labdaKarma humuombei mtu mabaya yamtokee infact ukiwa unamuombea mabaya yamtokee utasubiri Sana. Samehe na usahau then leave it Kama haijawahi tokea. Karma itself will catch up na huyo mkosaji.
Anyway nature Ina way yake ya kufanya vitu .....Karma humuombei mtu mabaya yamtokee infact ukiwa unamuombea mabaya yamtokee utasubiri Sana. Samehe na usahau then leave it Kama haijawahi tokea. Karma itself will catch up na huyo mkosaji.
Well said mafisadi wanaiba na wanazidi kupeta hamna karma Wala Nini ni unyonge tu survival for the fittestHuyo uliekua unamdai ukamkuta anaumwa unafikiri hayo ndo yalikua malipo ya deni lako? Je ungekua humdai asingeumwa?
Neno malipo ni hapahapa duniani ni maneno yaliyo andaliwa ili wanyonge wayaamini na wapoteze haki zao.
Hii Dunia haipo kwaajili ya watu wanao samehesamehe
See! The voice huwa ni so powerful & loud within kiasi kwamba huwezi kuipinga. Watu wasiangalie karma (laana) kama tu matokeo ya kutenda ubaya. Vilevile kuna karma (baraka) ya kutenda mema!!! Those who spend their time wishing for somebody else's death ama failure, huwa nawahurumia sana! They know not wanachokifanya. We should be good wishers na watoa barka kwa wengine! What goes around normally comes around! Hakuna tendo jema ama baya, even if infinitely small, ambalo halitakuwa repaid back in kind, au hata kwa kiwango kikubwa zaidi!Hii Karma inanisumbua sana. Nikimuibia mtu kitu mm naibiwa/ kupoteza Kikubwa zaidi hadi naumia sana.
Imagine Naiba earphones hata elfu 20 hazifiki napoteza simu ya milioni 1.5
Na sauti ya karma inanijia
Not true! Hakuna watu wanaosuffer kama hao. Usipime maumivu ya kuwa na wounded conscience! By the way their short time "dundizim" (kudunda) which appears to be the case in this life is fickle, transient and purely illusive.Well said mafisadi wanaiba na wanazidi kupeta hamna karma Wala Nini ni unyonge tu survival for the fittest
Ati nature!? There is a Being greater than nature! Omnipotent GOD!!!Anyway nature Ina way yake ya kufanya vitu .....
Achana na nature kabisa
Naelewa unachosema
Uwe na siku njema
Nimesema greater khee miwatu mingine bhnaAti nature!? There is a Being greater than nature! Omnipotent GOD!!!