next
JF-Expert Member
- Nov 2, 2007
- 604
- 184
Daahh
labda niseme
Usijali mpenzi
ulichofanya na mi hivyo hivyo....
Safi sana, hii poa! Unamwambia nilikuwa sjui nitakuambiaje!
Daahh
labda niseme
Usijali mpenzi
ulichofanya na mi hivyo hivyo....
Umekuwa mbali na mpenzio/mkeo/mmeo kwa takriban miezi sita au zaidi...! Japo mawasiliano yalikuwepo na mipango yenu ilikuwa wazi kwa kila mmoja... ! Wiki moja baada ya kukutana tena mwenzako anakueleza kuwa huko alipokuwa alipata ku-do na watu wawili tofauti na kwa nyakati tofauti, lakini akasisitiza maneno yafuatayo; "sikukusaliti, wala sikuwapenda, bali nilizidiwa". Je, ungereact vipi?
Safi sana, hii poa! Unamwambia nilikuwa sjui nitakuambiaje!
mhhhhhh! ungevunja uhusiano ,maana kma mwanaume ndio unamwambia hivyo yeye angekasirika tu,hata kma yeye ndio wakwanza kukuambia kuwa katoka out
Duh.....! Kumbe ndio hivi? Basi sisemi ng'o.....! Bora nibaki na siri yangu moyoni..!
BW,
Kuna kitabu nilisoma i cant remember its title nikikukmbuka nitakujuza
it says that men and women perceive love and sex differently, meaning that
mwanaume anaweza asiwe amempenda yule atakaye have nae sex biashara pale inakuwa ni sex tu but anampend amtu mwingine
ila mwanamke kwake love and sex vinaenda sambamba (ukitoa wafanyabiashara of course)..
so its possible alido na hao na hawapendi.
Men correct me if am wrong
Toka nimejua hiyo theory aisee nimekuwa mtu wa amani na msamaha sana tu. I always believe I am his number one. Huko kwingine anaenda kutimiza haja zake tu. Sasa sijuhi najipa moyo?