Una Tsh 200M Utanunua Apartment au utaenda kufanya ujenzi wako mwanzo mwisho?

Jayden News

Member
Aug 28, 2022
29
94
IMG_3431.jpg
 
Kama iko sehemu nzuri, bora kununua. Maana vifaa vya ujenzi kwa sasa ni changamoto. Bei yake ya kununulia imepanda sana.
 
mkuu kajenge tu.....alafu unakuwa wa kwanza kutumia kile kitu na kwa kuwa una mzigo wa kutosha unaplan kila kitu itasaidia kufanya budget yako isipinde pinde utaenda strait until deal done.
 
Back
Top Bottom