Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 377
Kijana ndiyo nguzo na nguvu kazi katika jamii yoyote ile, hivyo wewe kijana wa Tanzania, hakikisha unasimama katika mlengo wa kuikomboa jamii yako, kiuchumi,kisiasa,kielimu n.k.
Vijana tunawajibu wa kuitumikia jamii (JAMII INATUDAI), ikiwa taifa litateketea chini ya uwepo wetu, wajukuu zetu watayapiga makaburi yetu kwa mawe, kwa hasira dhidi uvivu na ujinga wetu, Grayson 2010.
Vijana tunawajibu wa kuitumikia jamii (JAMII INATUDAI), ikiwa taifa litateketea chini ya uwepo wetu, wajukuu zetu watayapiga makaburi yetu kwa mawe, kwa hasira dhidi uvivu na ujinga wetu, Grayson 2010.