Una muda gani mpaka sasa?

Hiki kipengele ni muhimu mnoooo yaani ukiferi Sana per day piga K 4, hii huongeza ujasir na kupunguza uoga wa moyo kutetemekea wanawake hovyo hovyo. ๐Ÿ˜‚
 
Tatizo mnatangaza mno!๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
Kweli watu wana bahati, wanapewa lakini bado wanatangaza

Wakati mwenzao huku nina miezi ya kutosha sijaona ndani jameni ๐Ÿ˜œ
Nipishe ushanihalibia celibacy๐Ÿšฎ
Ulisema utaniletea Kiko eeh, fanya basi mpango mjukuu, baridi ni kali huku ujue ๐Ÿ˜‰
 
Mi nachekaaa ๐Ÿคฃ
Nini mbaya mjukuu

Kuna mwaka nilikaa nyumba moja ya kupanga, Mimi nipo singo wakati jirani yangu chumba cha jirani alikuwa na mke

Kila ikifika saa 4 usiku, ilikuwa ni vilio tu hapo kwa jirani, hakuna mwaka nimeishi maisha magumu kama mwaka ule

Ni sabuni gani sijaitumia mimi, kuanzia komoa hadi Ayu ๐Ÿ™Œ
 
Umenikumbusha kuna siku nililala gest peke angu aloo chumba cha pili madirisha yalikua karibu na dirisha langu aloooooo nilikomaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ