tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
anataka ukaribu na huduma...mawasiliano yaki kata hata pata huduma za emergency.
Endelea kugonga tu...., maana wewe ndio tatizo na wala hujitambui!
Unatembeaje na mwanamke ambae alishakuambia ana rafiki tayari!?
Hata kama anajigonga kwako huna utashi wa kumueleza ukweli? au kwa sababu papuchi imejileta basi we kama yale medege yala mizogo porini wagonga tu!!
Anakukubali Sema Anajifunga Coz Alishakwambi Kabla Kuwa Anae Bwana.....Try Kumsogeza Kwenye Game Tena Uone Muitikio Wake......Ingawa Inaweza Kuwa Anakufanya 'Last One'
Kama Umegundua AnamaanishaAnachokisema.....Achana Nae Inshort.....
Duuh kaka una story kama yangu, me mwenyewe kuna kaduh ivyoivyo nimekagonya mara mbili kanasoma bado kananikataa kanasema kana mtu wake na tena anampenda sana
Endelea kugonga tu...., maana wewe ndio tatizo na wala hujitambui!
Unatembeaje na mwanamke ambae alishakuambia ana rafiki tayari!?
Hata kama anajigonga kwako huna utashi wa kumueleza ukweli? au kwa sababu papuchi imejileta basi we kama yale medege yala mizogo porini wagonga tu!!